Naomba nikaribishwe

Naomba nikaribishwe

Habar zenu me naitwa shunayla natokea tanga naomba nikarubshwe me mgeni humu jf. Nahitaji ushirkiano wenu
Karibu Sanaa
Me naitwa MCHAWI mkuu
Na uwezo wa kusema vitu Na vikawa kweli
Kwa mahitaji ya
Ushaur
Urafiki
Ucheshi
Kampani
Karaha
Shidaaa Na dhiki
Raha Na faraja
Karibu inbox
NB:Jf upo Na kila Aina ya WATU
Wajuaji
Wavivu
Wachangamshi
Matapeli
Wahuni
Vijuso Na roho mbayaa
Ukiwa Jf tarajia kupata vitu hivi
Habari za abunuasi
Habari za kusadikika
Habari za ukweli
Habari za uongo
Matusi Na karaha ni pake pia!
NB:Jf inaweza kukufanya
Siku yako nzima kuharibika
Siku yako nzima kuwa na furaha
Karibu zaidi
 
Karibu Sanaa
Me naitwa MCHAWI mkuu
Na uwezo wa kusema vitu Na vikawa kweli
Kwa mahitaji ya
Ushaur
Urafiki
Ucheshi
Kampani
Karaha
Shidaaa Na dhiki
Raha Na faraja
Karibu inbox
NB:Jf upo Na kila Aina ya WATU
Wajuaji
Wavivu
Wachangamshi
Matapeli
Wahuni
Vijuso Na roho mbayaa
Ukiwa Jf tarajia kupata vitu hivi
Habari za abunuasi
Habari za kusadikika
Habari za ukweli
Habari za uongo
Matusi Na karaha ni pake pia!
NB:Jf inaweza kukufanya
Siku yako nzima kuharibika
Siku yako nzima kuwa na furaha
Karibu zaidi
Me nitakuja mkuu
 
Back
Top Bottom