Naomba nimlete Michael Jackson mpya kwenu nimemwokota mtaani huko

Naomba nimlete Michael Jackson mpya kwenu nimemwokota mtaani huko

kijamaa kilikuwa kinaa sana aaaah[emoji2955][emoji2955][emoji2955]
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Huyu ndio meneja wa makampuni anawapeni vitu vya moto. Ewaaaaaaaaaa
 
Kajitahidi jamaa sema badhii ha steps hajazimudu sema yupo njema ningependa nione akicheza ile tap dance kama michael Jackson mwenyewe.
 
Back
Top Bottom