Uje na lugha nzuri unatuumiza nafsi wenginr ujue.Niwie Radha mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uje na lugha nzuri unatuumiza nafsi wenginr ujue.Niwie Radha mkuu
Umemshauri vizuri naongeza nyama kidogo. Kwa sehemu ya nje kwenye fascia boards kwa chini huwa ndipo PVC hutumiwa. Gypsum boards kwa nje hazifai kutokana na unyevu na maji ya mvua. So atatumia zote pvc na gypsum, pvc kwa nje na gypsum kwa ndani.
Nashukuru mkuu nalifanyia kaziNakushauri tu chukua yoyote yenye gharama nafuu, usitoboe mfuko sana kwenye hiyo sehemu ya gypsum maana iwe brand yoyote ikivujiwa na maji ni lazima eneo lililovujiwa ulibadilishe
Gypsum ni majina tu lakini ukifunga kama haijapata bughudha inaishi sana. Mie nimejenga nyumba kadhaa za wapangaji mwanzo nilikuwa naweka ANDIKA ila baadae nikawa naweka za bei nafuu ila zote zina mwonekano sawa na hazijawahi kusumbua. Hapo mchawi kuvujiwa tu
Nashukuru mkuuBodi zipo za 14,000, 17000 na 25-30,000
Tofauti hapo ni kwamba kila kampuni inajinadi kuwa zao ni bora zaidi ku-resist moisture, water and fire ila mi naona kawaida tu zote.
![]()
Ramani/Ujenzi/Interior design (@pilot_constructions) • Instagram photos and videos
252K Followers, 7,895 Following, 1,217 Posts - See Instagram photos and videos from Ramani/Ujenzi/Interior design (@pilot_constructions)instagram.com
Nashukuru mkuu kwa ushauri na ushuhuda wakoNakushauri utumie gypsum board instead of pvc (kwa dsm) pvc zinasharabu joto zaidi na kama nyumba yako fupi haina ac utajuta!
Board azitofautiani sana ila kuna za thailand (most expensive) na za tz! Kuna standard, bbg, andika, double elephant etc.
Hapo bbg ndio cheap zaid ila skushauri utumie kwa kuwa ni laini zaid ukiztoa 100 kkoo site zitafika nzima 90 na kwnye kuzikata znakatika vibya! Tumia double elephant kwa kkoo now znauzwa 15-16k
Barikiwa mkuuUmemshauri vizuri naongeza nyama kidogo. Kwa sehemu ya nje kwenye fascia boards kwa chini huwa ndipo PVC hutumiwa. Gypsum boards kwa nje hazifai kutokana na unyevu na maji ya mvua. So atatumia zote pvc na gypsum, pvc kwa nje na gypsum kwa ndani.
Tuko pamojaHapa mm na notebook to
Hapana mkuu, nimekuelewa sana! Nilikuwa naweka utani tu ila umeeleweka!🙏🙏🙏Mkuu siyo hivyo kama umenielewa tofauti nisamehe
sio nyumba ya juu ni hatua ya Dari mkuuWakuu nisiwachoshe naomba nijikite kwenye mada.
Nina kibanda changu Cha vyumba vinne kimoji ni self, public toilet, sebule, dinning, jiko na stoo na Niko kwenye hatua ya finishing.
Naomba nipate Elimu kuhusu gypsum board aina zake, wazalishaji na ubora wake pamoja na bei zake za mjini(DSM).
Pia, naomba nipate Elimu kuhusu pvc board gharama zake zikoje kwa bei ya mjini DSM na wazalishaji wake na ubora wao.
Kuna tofauti Gani za ubora wa hizi materials tajwa hapo juu na udhaifu wake hasa kwa kuzilinganisha.
Natanguliza shukrani.