Naomba nipatiwe elimu kuhusu umaliziaji wa kujenga nyumba juu (Gypsum Board na PVC Board)

Umemshauri vizuri naongeza nyama kidogo. Kwa sehemu ya nje kwenye fascia boards kwa chini huwa ndipo PVC hutumiwa. Gypsum boards kwa nje hazifai kutokana na unyevu na maji ya mvua. So atatumia zote pvc na gypsum, pvc kwa nje na gypsum kwa ndani.

Bei za PVC zikoje wakuu?
 
Nashukuru mkuu nalifanyia kazi
 
Nashukuru mkuu kwa ushauri na ushuhuda wako
 
Umemshauri vizuri naongeza nyama kidogo. Kwa sehemu ya nje kwenye fascia boards kwa chini huwa ndipo PVC hutumiwa. Gypsum boards kwa nje hazifai kutokana na unyevu na maji ya mvua. So atatumia zote pvc na gypsum, pvc kwa nje na gypsum kwa ndani.
Barikiwa mkuu
 
Ina maana mtaani kwako hakuna mafundi? Au ulipenda tu kuja kutuzodoa hapa jukwaani kwamba nawe una ka kibanda? Tuheshimiane bro![emoji16][emoji16]
Mkuu siyo hivyo kama umenielewa tofauti nisamehe
 
Amen mkuu, tunasubiri mrejesho wa namna utakavyo implement ili na wengine wajifunze Mhakiki
 
sio nyumba ya juu ni hatua ya Dari mkuu
 
PVC BOARD ni bora mara mia kama nyumba yako inavuja,lakin usipige Gpsum board kwenye nyumba inayovuja UTAJUTA๐Ÿ™๐Ÿ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ