Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,051
- 12,954
- Thread starter
-
- #61
Ishindie wapi? Haiwezi.Stars itashinda na kufuzu Afcon 2019
We punga acha uchawi, uchawi utakusaidia nini?Tafta mume uolewe, achana na wanaume za watu dada. Mpenzi wangu ana wivu, akijua unataka nikufanye mke wa pili atakuua. Tafta maanaume wako peke yako, mbona wanaume single wako wengi mama angu, kwa nini utusumbue sisi waume za watu???
Ndio shida ya kukosa marinda hii.., uchawi utakusaidia nini we punga..?Makonda ana mafanikio gani?
Mungu gani kamzawadia mtoto? Huyo mtoto walichukua mbegu za mwanaume mwingine wakampandikiza mkewe, hilo ni punga halina uwezo wa kuzaa. Awashukuru wanasayansi waliopandikiza mbegu za mwanaume mwingine.
Tafta mwanaume mwenye uwezo wa kukuzalisha bila shida, achana na bashite, utakosa mtoto. Shauri yako.
Uchawi utakusaidia nini ukizingatia marinda huna..Punga baba yako. Anapumuliwa mida hii.
Achana na waume za watu. Mimi sikutaki nina mwanamke wangu. Wapelekee wanaopenda tigo, mimi sipendi.Ndio shida ya kukosa marinda hii.., uchawi utakusaidia nini we punga..?
Hatuwezi kushinda. Tusipoteze muda.Napenda sana tufuzu AFCON lakini nahisi tunawapa wachezaji undue pressure na hizi kelele za akina Bashite. Ni zamu yetu ingeanza siku ya kwanza Kuliko kutegemea mechi moja na kuwaombea mabaya Lesotho.
Lesotho wakishinda hatuna chetu maana tutakuwa na point sawa lakini head to head wapo juu yetu.
Hiyo mitako yako kama ya jamaa unayemtetea humu. Nyie kizazi cha mabwabwaUchawi utakusaidia nini ukizingatia marinda huna..
Sawa anti losty, ila ukiwa punga halafu ukawa na tabia za kichawi kama hizo mwishowe ni kupewa mimba na majini..Achana na waume za watu. Mimi sikutaki nina mwanamke wangu. Wapelekee wanaopenda tigo, mimi sipendi.
Sawa anti Sibo, ila unapokuwa punga halafu unaendekeza uchawi namna hii mwishowe ni kupewa mimba na majini, acheni roho mbaya za kichawi.Hiyo mitako yako kama ya jamaa unayemtetea humu. Nyie kizazi cha mabwabwa
Ila tuombe tu jamani Taifa star wapate ushindi....wakifungwa leo...baba Keegan, Muro etal mmmh! wataweka wapi nyuso zao...watesi wao watapata nafasi ya kujidai sana....wale wa zee wa mende wameshajiandaa...kunywa mpaka kucheleee.....sasa matokeo tofauti itakuwa maumivu makubwa ambayo yatagusa mpaka lumumba....ila ufipa naona itakuwa kichekoUshindi wa aina yoyote ule watakaopata Lesotho bila kujali idadi ya magoli utawapa nafasi ya kufuzu
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi! Uwezekano wa kupenya ni mkubwa kwa stars ila Tff wajirekebisheBila kuegemea upande wowote.Lesotho akishinda na stars kushinda au timu zote kutoka droo anapita Lesotho.Timu zikilingana pointi wanaangalia mlipokutana nani alivuna pointi nyingi kwa mwenzake.Lesotho amevuna point 4 wakati Stars amevuna pointi moja tu Chamazi.Huu mfumo umeiondoa Msumbiji jana dhidi ya Namibia.Mechi ya kutupeleka AFCON ilikuwa Maseru na siyo hii ya badala yake Amunike akaanza kugombana na wachezaji.Ubashiri wangu ni kwamba Stars itapenya lakini TFF waache kuweka siasa kwenywe mpira
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenda kule!.Yanga inaingiaje hapo!Wewe bila shaka utakuwa mshabiki wa yanga...washabiki wa yanga sikuhizi hawana tofauti na wachawiii
Naunga mkono hoja.Maombi yangu maalum ni kwa Lesotho kupata ushindi mnono wa goli 3 bila kesho dhidi ya Cape Verde.
Kama Lesotho atapata pointi 3 zote kesho na timu ya wema sepetu na bashite ikapigwa 2 bashite na Uganda ntafurahi sana.
Sina sababu ya uwatakia ushindi timu ya bashite maana itakua ni kupoteza muda maana huko mbele watapigwa 7 itakua aibu, bora watoke sasa tufanye mambo mengine kuliko kuna kujichotea zigo la aibu huko mbele.
Uganda piga hao mbweha tatu mtungi.....Unatuletea ubashite kwenye mambo ya msingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mashabiki wa yanga huwajui wewe??..ndo wanaongoza kuzishabikia timu za njeKwenda kule!.Yanga inaingiaje hapo!
Sasa una tofauti gani na hao akina Bashite wanaotaka kuingiza siasa kwenye michezo?! Hivi ni nani kati ya huyo Wema au Bashite unayeona ni mpenzi wa michezo pale?!
Ingawaje wapo wapumbavu kadhaa kutoka serikalini wanaotaka kuingiza siasa kwenye mechi hii muhimu, lakini utakuwa mtu wa ajabu na wewe ukitaka kushindana na hao wapumbavu coz' most of them don't give a **** about football but you probably do! Am angry too but should I argue with fools? NO, I have to make people spot the difference!
Naunga nkono hoja...mia kwa mia mkuuMaombi yangu maalum ni kwa Lesotho kupata ushindi mnono wa goli 3 bila kesho dhidi ya Cape Verde.
Kama Lesotho atapata pointi 3 zote kesho na timu ya wema sepetu na bashite ikapigwa 2 bashite na Uganda ntafurahi sana.
Sina sababu ya uwatakia ushindi timu ya bashite maana itakua ni kupoteza muda maana huko mbele watapigwa 7 itakua aibu, bora watoke sasa tufanye mambo mengine kuliko kuna kujichotea zigo la aibu huko mbele.