Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
da masela humu mnanipa mzuka kichizi yaani
mna poa kifamily zaidi,kama vipi nini poa mwanenu nipo hapa
Nina muda sijaja hapa jamvini kumbe ushabadili avatar? Ile ilikuwa kiboko. Otherwise mambo mazuri na asante kwa yote and stay blessed!
DJ BABU,Karibu sana mkuu na ninakutakia kila la heri na mafanikio katika mwaka mpya unaokuja,hii forum tuko kama family na ukishaizoea mwana basi hata hamu ya mitandao mingine kwishney.Na chochote utakachotaka katika life, kimawazo basi usisite kuuliza humu utapata jibu,karibu mwana na enjoy your stay.
Mzux mwana!