Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Sasa wewe kibonge, binti amepaki Harrier, we IST si ungei pack tu kando ya barabara kupunguza jam. yasingekukuta yote hayo.
Ulimfata huyo Dada kwakuwa ye alikuwa na muonekano kama mtoto wa secondary au chuo πSikujua hilo. Wala sikuwa na nia ya kumdhalilisha ndo maana nlimfuata yule dada moja kwa moja nikijua yeye ndo mhusika.
We nae kama mgeni bwana π£π£[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio kwa chai hii
Labda huyo dada alivaa sketi inayofanana na uniform.Ulimfata huyo Dada kwakuwa ye alikuwa na muonekano kama mtoto wa secondary au chuo π