Mwa chando
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 359
- 122
kwani ukiwa jeshi huwezi apply ? network IPO popote pia kuna ems almost kila sehem za Tanzania........hivi tunatambua kuwa walio maliza kidato cha tano wameanza kuomba mikopo
swali! je hawa watu wanaenda jeshini na vyuo hawaja chagua kyomba vyuo
itakuwaje nawakati wanarudi mwezi wa 9
je watafanyaje?
kila k2 kpo planed nadhan kutakua na link kat ya JKT na BODI
kila k2 kpo planed nadhan kutakua na link kat ya JKT na BODI