Naomba niulize swali kwenu

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ila wanawake niwakuwaonea huruma yani wadada niliomaliza nao shule nikiwaangalia sasa hv cjui nisemeje yani utafkl tunapishana miaka kumi na mitano. Niwakuwa wakubwa hatari bora kidogo ambao kipato kinaenda vzr pamoja nakuonekana mashangazi ila wanavutia sasa wale wenye maisha ya kuunga mungu wangu. Na miaka yenyewe ni 33.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…