Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Mechi ijayo ya NBC PL, Yanga akimfunga Coastal Union, anatwaa Ubingwa wa NBC PL.
Kwa maana hiyo Ubingwa wa Yanga wa NBC PL upo mikononi Kwa Coastal Union!
Kisha Yanga akimfunga Coastal Union kwenye fainali ya Azam Conf Cup, Yanga atatwaa Ubingwa!
Kwa maana hiyo Ubingwa wa Azam Conf Cup wa Yanga upo mikononi mwa Coastal Union!
Sasa Coastal Union WANAENDA mkabidhi Yanga Mataji mawili muhimu nchini mwaka huu
Msije walaumu Coastal Union Kwa vyovyote vile, Kumbukeni ninyi wenyewe mlitukabidhi Ngao ya Hisani, na mkatukabidhi fainali ya Azam Conf Cup
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwa maana hiyo Ubingwa wa Yanga wa NBC PL upo mikononi Kwa Coastal Union!
Kisha Yanga akimfunga Coastal Union kwenye fainali ya Azam Conf Cup, Yanga atatwaa Ubingwa!
Kwa maana hiyo Ubingwa wa Azam Conf Cup wa Yanga upo mikononi mwa Coastal Union!
Sasa Coastal Union WANAENDA mkabidhi Yanga Mataji mawili muhimu nchini mwaka huu
Msije walaumu Coastal Union Kwa vyovyote vile, Kumbukeni ninyi wenyewe mlitukabidhi Ngao ya Hisani, na mkatukabidhi fainali ya Azam Conf Cup
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app