Mzee Wa Kale Kabisa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2018
- 2,621
- 4,322
Mtu anaendesha speed 60-80 dar arusha atakuwa na nondo gani? π€£π€£π€£π€£Mkuu tupe nondo
Ila wenye harrier sasa...! Utasikia chuma iko comfortable sana! Kwanza mm nakataa ile sio gari ya juu...π€£π€£ hebu angalia kule uvunguni kwake vitu vinavyoning'inia πππ ground clearence haiko clear kabisa π€£π€£π€£π€£Nachukia sana magari ambayo huwa yanataka yabembelezwe,yapetiwepetiwe kila saa,yachombezwe mara kwa mara.Mara yadai mahaba na kadhalika!
Hili swali wanaliruka sana ila kwa bajet hiyo mbona subaru ndio best..
1. Subaru xt
2. Harrier
3. Vanguard
4. kluger
5. Xtrail
Hapo gari ni Vanguard,Kluger na Subaru.Hiyo Harrier na Xtrail ni uchafu!
Nachukia sana magari ambayo huwa yanataka yabembelezwe,yapetiwepetiwe kila saa,yachombezwe mara kwa mara.Mara yadai mahaba na kadhalika!
Mtu anaendesha speed 60-80 dar arusha atakuwa na nondo gani? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wapo sahihi sana.Hapo nimeiweka tu just in case!Mkuu umeona walivyoiponda subaru huko juu[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
Umesahau escudo mkuuHili swali wanaliruka sana ila kwa bajet hiyo mbona subaru ndio best..
1. Subaru xt
2. Harrier
3. Vanguard
4. kluger
5. Xtrail
Ni kweli inategemea una compare na mikoko ipi...Wahuni washasema subaru XT hamna kitu mkuu[emoji23]
mala mia achukue VanguardHili swali wanaliruka sana ila kwa bajet hiyo mbona subaru ndio best..
1. Subaru xt
2. Harrier
3. Vanguard
4. kluger
5. Xtrail
Na rav 4Umesahau escudo mkuu
Hapo achukue Vanguard au Kluger..π€£π€£π€£ harrier ndio uchafu namba moja mkuu
Honda CRVNa rav 4
Vanguard anaweza kuwa nje ya bajeti kidogo japo kwa sasa kodi zimeshuka ajaribu kupambana lakini... Klugger kiboss hasa ile 240 ya 4 cylinder... Inanusa kimtindoHapo achukue Vanguard au Kluger..
Hizi imprezza zilizojaa bongo hivi karibuni uwa naziona kama ist zilizochangamka tu πYani humo humo mzee halafu inaitwa SUV unajiuliza hawa Fuji Heavy Industries walikuwa wanafikiria kwa kutumia kichwa kipi?
SUV gani ambayo huwezi hata kuweka kishoka? Kwa nje unaonekana bega tu na kichwaπ€π€π€πππnina jamaa yangu anasema hio gari hata siipendi mzee nimeendesha imprezza tu imenichosha ipo chini mno!
Labda miss tz ila sio kili timeNa rav 4
akiote anamvua mtu kwa 25, ila ambayo haijasajiliwa bado hapa bongo za kuanzia 2010 aongeze kuanzia 33+ anaweza pata, kuna moja nilikuta wanaiuza 34.. ila nafuu klugger kuliko huo uchafu subaru π΅π΅π΅Vanguard anaweza kuwa nje ya bajeti kidogo japo kwa sasa kodi zimeshuka ajaribu kupambana lakini... Klugger kiboss hasa ile 240 ya 4 cylinder... Inanusa kimtindo
Wapo sahihi sana.Hapo nimeiweka tu just in case!
Ni IST zilizo changamka mkuu πππHizi imprezza zilizojaa bongo hivi karibuni uwa naziona kama ist zilichangamka tu π