Pole Mkuu,HABARI WAKUU;
naomba msaada wa picha ya vidonge vya ARV ili nijiandae kisaikolojia
tupe story kwanza kidogo ili tujue we unakuja na hitimisho tu hapaHABARI WAKUU;
naomba msaada wa picha ya vidonge vya ARV ili nijiandae kisaikolojia
Hapo kila rangi na wakati wake.HABARI WAKUU;
naomba msaada wa picha ya vidonge vya ARV ili nijiandae kisaikolojia
Kumbe ndio hivi?!?!?[emoji125] [emoji125] [emoji125]Hapo kila rangi na wakati wake.
Kuna za kuanza mpaka za mwisho.
Blue, njano, pink na nyeupe na kila dawa ina hatua zake.
Ila mkuu kama uko serious pole sana na wala sio mwisho wa kuishi.
View attachment 779333
woooow.....!"!!ahsante sana mkuu...kumbe havitishiHapo kila rangi na wakati wake.
Kuna za kuanza mpaka za mwisho.
Blue, njano, pink na nyeupe na kila dawa ina hatua zake.
Ila mkuu kama uko serious pole sana na wala sio mwisho wa kuishi.
View attachment 779333
Kujua tatizo ni nusu ya jawabu - KikweteHABARI WAKUU;
naomba msaada wa picha ya vidonge vya ARV ili nijiandae kisaikolojia
Angalia usigongwe na gari huko mtaani ukatangulia ukamuacha mshikajiAisee napita mtaa nasoma huu Uzi huku naskia wimbo WA ferooz kwahelin kwahelin hamtaniona tena duniani
kumbe zina rangi nzuri hivyo!?[emoji3][emoji1]Hapo kila rangi na wakati wake.
Kuna za kuanza mpaka za mwisho.
Blue, njano, pink na nyeupe na kila dawa ina hatua zake.
Ila mkuu kama uko serious pole sana na wala sio mwisho wa kuishi.
View attachment 779333
Nyeupe ni hatua gan? Maana kuna mtu namjua anatumia nyeupeHapo kila rangi na wakati wake.
Kuna za kuanza mpaka za mwisho.
Blue, njano, pink na nyeupe na kila dawa ina hatua zake.
Ila mkuu kama uko serious pole sana na wala sio mwisho wa kuishi.
View attachment 779333
ina maana unakaribia kwenda mbinguniNyeupe ni hatua gan? Maana kuna mtu namjua anatumia nyeupe