Naomba picha ya vidonge vya ARV vya kisasa nijiandae kisaikolojia

Jana ulitaka bei ya tv
Leo unauliza rangi yA arv

Ngoja nikonekti dotiz
 
Mleta maada hajasema kama ana ukimwi/kaathirika
Lakin nashangaaa mmeanza kumpa pole duuh
Nilivyomuelewa ni kama vile kuna mtu wake anatumia hivyo ana wasiwasi wa maambukizi.

Ila kuna jambo nimejifunza juzi kwenye semina kuhusu vvu. Kuna factor zinazosababisha maambukizi. Hivyo sio lazima uambukizwe mara unaposhiriki tendo. Jiamini nenda ukapime.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…