Baba wa Mapaka
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 1,827
- 1,655
SidhaniAfadhali ww una uhakika na unachosema, maana kuna wataalam wa UNICEF hapa kutoka vyoo vyao vikuu wangeanza kujibu mapumba na mashudu
We ni mwehu, hiki sio kikombe ni kama unasema ee mungu niepushe na njaa, ukimwi au virusi vya ukimwi unaweza kuvipata hata km ukija kuoa kutoka kwa mwenzi wako au unaweza ukapata kwenye ajali, au hata kwa kujaribu tu kuchepuka siku moja ukawa nao, na moja ya maambukizi makubwa ni kutoka kwa wanandoa so jiangalie mwenyewe, Mungu yupo tayari kukuelekeza kule motoni au peponi, kumbuka ww ni mmoja kati ya watu bilioni 7 duniani so Mwenyezi Mungu yupo bize [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mungu niepushie kikombe hiki.amen.
Nmesema uhakika na unachosema, mimi ningekuwa na ndugu anavitumia ningesema kwa uhakika unaanzaje ila haimaanishi navitumiaSidhani
Huenda alitania tu maana wachache sana wanaojitangaza
Aiseee watu wawe makin sana humu,, unajua kuna mtu ID hiii anajitangaza ni mgonjwa..lkn ID yapili anakutongoza au anajitongozesha hahahah ....Kuna ule wimbo tunaoimbaga
Hayupoo hayupoo
Hayupoo oooh hayupooo x2
Huwezi kuukwepa...cha umuhimu ni kutokuuza mechi basiAiseee watu wawe makin sana humu,, unajua kuna mtu ID hiii anajitangaza ni mgonjwa..lkn ID yapili anakutongoza au anajitongozesha hahahah ....
Alafu mademu sasa ,ndo wengi na niwagumu haoooo kusema balaa[emoji23]
Anajiandaa kisaikolojia kwa ajili ya nini sasa ? Kufanya mtihani?Mleta maada hajasema kama ana ukimwi/kaathirika
Lakin nashangaaa mmeanza kumpa pole duuh
Huwezi kuukwepa...cha umuhimu ni kutokuuza mechi basi
Uongo tuHizi takwimu za maambukizi kila siku wapya 222 ni za kweli
AmenPole sana Mkuu
Mungu akutangulie katika pambano hilo kuu.
wengi wansema ooh figo..moyo na hili au lile ila wewe umekua mkweli na Amani unayo.ndio la mhimu.
usifanye kosa kusema mfe wengi mana hapo ndio hasaa utawahi kufa kabla ya hao wengi.' Kula vizuri epuka mawazo , ishi kwa Amani bila mpango wa kuambukiza mana ukisema uambukize kumbe unachanganya vya huyu na yule vinakuua haraka kuliko kawaida.
Pole sana madamHapo kila rangi na wakati wake.
Kuna za kuanza mpaka za mwisho.
Blue, njano, pink na nyeupe na kila dawa ina hatua zake.
Ila mkuu kama uko serious pole sana na wala sio mwisho wa kuishi.
View attachment 779333
Kumbe!Mimi ninayekwambia natumia dozi.
Wewe kama hutumii basi hujui lolote.
Siku ukiathirika uje kuweka ushahidi wako hapa
Mbona vina umbo la jenezaHapo kila rangi na wakati wake.
Kuna za kuanza mpaka za mwisho.
Blue, njano, pink na nyeupe na kila dawa ina hatua zake.
Ila mkuu kama uko serious pole sana na wala sio mwisho wa kuishi.
View attachment 779333
Madam vpDuh eh Mungu niepushe nauogopa sana huu ugonjwa.
Amiin Yaarabb l-alamiin.Ya Allah
Tukinge waja wako na balaa hili
Kwa yeyote atakayeitika dua hii ya Rabbi
Amiin
Kuna vile vya brown sivioni yaan unakuta vipo mixer kuna brown na vyeupe inakuwa combo km karanga yenye ganda na uliovua gandaHapo kila rangi na wakati wake.
Kuna za kuanza mpaka za mwisho.
Blue, njano, pink na nyeupe na kila dawa ina hatua zake.
Ila mkuu kama uko serious pole sana na wala sio mwisho wa kuishi.
View attachment 779333
HahahahahaAfadhali ww una uhakika na unachosema, maana kuna wataalam wa UNICEF hapa kutoka vyoo vyao vikuu wangeanza kujibu mapumba na mashudu
Asante mkuuPole sana madam