Naomba ruhusa

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Mjuavyo tena, leo ndio siku ya wapendanao; msiponiona humu kuanzia saa nne na kuendelea, mjue nimeenda kujumuika na upande wangu wa kushoto(Hawa) katika kuburudika katika hii sikukuu ya wapambanaji.

Nyie mtakaobaki humu, sijui mtakuwa bize na nini.

Ila maisha ni haya haya, asiye na mwana aeleke jiwe; walioliwa nauli zao, poleni.

Wanywa soda, juisi, maji machungu huku mziki laini kwa pembeni; kazi kwenu.​
 
Sisi tunaoishi kwa wazazi mwisho wa kurudi nyumbani ni saa 1 jioni, kwahiyo mchana ndio tulienda huko unapoenda wewe usiku huu. Kutesa kwa zamu.

Ushauri: Kama unaenda Lodge, kagua mashuka vizuri maana watu wamecheza humo mchana kutwaπŸ˜‚
 
Sisi tunaoishi kwa wazazi mwisho wa kurudi nyumbani ni saa 1 jioni, kwahiyo mchana ndio tulienda huko unapoenda wewe usiku huu. Kutesa kwa zamu.

Ushauri: Kama unaenda Lodge, kagua mashuka vizuri maana watu wamecheza humo mchana kutwaπŸ˜‚
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ huko hatutaingia, ni mziki tu na kunywa + vibe
 
Sisi tunaoishi kwa wazazi mwisho wa kurudi nyumbani ni saa 1 jioni, kwahiyo mchana ndio tulienda huko unapoenda wewe usiku huu. Kutesa kwa zamu.

Ushauri: Kama unaenda Lodge, kagua mashuka vizuri maana watu wamecheza humo mchana kutwaπŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚namshukuru Mungu niko zangu single maana πŸ™ŒπŸΏπŸ™ŒπŸΏπŸ™ŒπŸΏ
 
nimetoka kushuhudia watu wakipigana dakika 5 zilizopita hapa bondeni ferry chanzo ni demu kuchukua maokoto sehemu mbili alafu kagonganisha magari πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hii siku mpka iishe zimemwagika damu pipa 7
Hiyo hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…