Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Naiomba serikali ituruhusu tulime bangi Ila tuuze nje Mimi ni mkulima wa mahindi na mpunga Nina jumla ya hekta 290 Ila za mahindi ni 150.
Kilimo cha mahindi kimenitia hasara Sana na kwa mwaka huu mbolea imepanda mno mfuko wa kilo 50 unauzwa laki na ishirini nahisi naenda kufilisika.
Ila serikali ikiruhusu tulime bangi itapata Kodi kubwa na pia iweke udhibiti wake ili kuzuia cartels Kama za Mexico.
Kilimo cha mahindi kimenitia hasara Sana na kwa mwaka huu mbolea imepanda mno mfuko wa kilo 50 unauzwa laki na ishirini nahisi naenda kufilisika.
Ila serikali ikiruhusu tulime bangi itapata Kodi kubwa na pia iweke udhibiti wake ili kuzuia cartels Kama za Mexico.