Naomba sheria na kanuni zibadilishwe mh rais J.Kikwete agombee 2015

Naomba sheria na kanuni zibadilishwe mh rais J.Kikwete agombee 2015

kalamata

Senior Member
Joined
Apr 16, 2011
Posts
144
Reaction score
29
....Jamani wana JF mtaniona kama taahira lakini sio hivyo,nina akili zangu timamu,yaani mpaka mda huu sioni nani atakae kua mrithi sahihi wa Jakaya kikwete ndani ya chama changu cha mapinduzi(CCM) bali naona siasa za fujo tu,tumesha waona wenzetu wa chadema,hata kabla ya kupewa ridhaa ya kuongoza Nchi kama wanavyodhani, tayari wameanza kugawana mbao na kuitoboa jahazi yao,ikisha jaa maji Nahodha atashindwa kuidhibiti jahazi mwishowe itazama.
Sasa huu ni muda muafaka wa sisi (CCM)Kumpa tena nafasi JK atuongoze maana juu ya udhaifu wao chadema wanaweza kutupiga bao kama hatutakua na chaguo SAHIHI,kama nitakua nimekosea naomba RADHI.
 
....Jamani wana JF mtaniona kama taahira lakini sio hivyo,nina akili zangu timamu,yaani mpaka mda huu sioni nani atakae kua mrithi sahihi wa Jakaya kikwete ndani ya chama changu cha mapinduzi(CCM) bali naona siasa za fujo tu,tumesha waona wenzetu wa chadema,hata kabla ya kupewa ridhaa ya kuongoza Nchi kama wanavyodhani, tayari wameanza kugawana mbao na kuitoboa jahazi yao,ikisha jaa maji Nahodha atashindwa kuidhibiti jahazi mwishowe itazama.
Sasa huu ni muda muafaka wa sisi (CCM)Kumpa tena nafasi JK atuongoze maana juu ya udhaifu wao chadema wanaweza kutupiga bao kama hatutakua na chaguo SAHIHI,kama nitakua nimekosea naomba RADHI.

Katiba ya Ja,mhuri ya muungano wa tz inasemaje kuhusu mihula ya uongozi wanasiasa hasa rais? au tayari kipengele hicho kilishafutwa kama M7 wa uganda alivyofanya?
 
akitoka pinda anakuja ponda sasa huyu anayefuata ni wewe.
 
Ili Tembo na Twiga waendelee kuisha?
Ili Wauza Madawa ya Kulevya Waendelee kutamba...?
Ili Njia zote za Uchumi wapewe wachina?....

We need change before change changes us!
 
....Jamani wana JF mtaniona kama taahira lakini sio hivyo,nina akili zangu timamu,yaani mpaka mda huu sioni nani atakae kua mrithi sahihi wa Jakaya kikwete ndani ya chama changu cha mapinduzi(CCM) bali naona siasa za fujo tu,tumesha waona wenzetu wa chadema,hata kabla ya kupewa ridhaa ya kuongoza Nchi kama wanavyodhani, tayari wameanza kugawana mbao na kuitoboa jahazi yao,ikisha jaa maji Nahodha atashindwa kuidhibiti jahazi mwishowe itazama.
Sasa huu ni muda muafaka wa sisi (CCM)Kumpa tena nafasi JK atuongoze maana juu ya udhaifu wao chadema wanaweza kutupiga bao kama hatutakua na chaguo SAHIHI,kama nitakua nimekosea naomba RADHI.

Ulipata mgao wa hela za korosho nini?! Hujui Tz sasa hivi Kalamata una heshima ya kuwa Rais ajaye? Nakushangaa kutafutia ulaji mtu ambaye Katiba inamtaja kumaliza zamu yake, au kakutuma?
 
....Jamani wana JF mtaniona kama taahira lakini sio hivyo,nina akili zangu timamu,yaani mpaka mda huu sioni nani atakae kua mrithi sahihi wa Jakaya kikwete ndani ya chama changu cha mapinduzi(CCM) bali naona siasa za fujo tu,tumesha waona wenzetu wa chadema,hata kabla ya kupewa ridhaa ya kuongoza Nchi kama wanavyodhani, tayari wameanza kugawana mbao na kuitoboa jahazi yao,ikisha jaa maji Nahodha atashindwa kuidhibiti jahazi mwishowe itazama.
Sasa huu ni muda muafaka wa sisi (CCM)Kumpa tena nafasi JK atuongoze maana juu ya udhaifu wao chadema wanaweza kutupiga bao kama hatutakua na chaguo SAHIHI,kama nitakua nimekosea naomba RADHI.

Mteueni Mkapa au Malecela (sio le mutuz bali babae) kama ndio hivyo mlivyoishiwa!
 
Ni hoja ya dharula,uchaguzi ni 2020 katiba iliyopo hatutampata rais 2015! naunga mkono
 
Maneno sita ya kwanza katika bandiko lako yameongea kila kitu, hamna cha kuchangia hapa.
 
....Jamani wana JF mtaniona kama taahira lakini sio hivyo,nina akili zangu timamu,yaani mpaka mda huu sioni nani atakae kua mrithi sahihi wa Jakaya kikwete ndani ya chama changu cha mapinduzi(CCM) bali naona siasa za fujo tu,tumesha waona wenzetu wa chadema,hata kabla ya kupewa ridhaa ya kuongoza Nchi kama wanavyodhani, tayari wameanza kugawana mbao na kuitoboa jahazi yao,ikisha jaa maji Nahodha atashindwa kuidhibiti jahazi mwishowe itazama.
Sasa huu ni muda muafaka wa sisi (CCM)Kumpa tena nafasi JK atuongoze maana juu ya udhaifu wao chadema wanaweza kutupiga bao kama hatutakua na chaguo SAHIHI,kama nitakua nimekosea naomba RADHI.

Kapuya ndiye mgombeya wa CCM huoni hata polisi wanamgwaya??!!!
 
We are not yet there to be called a caliphate, even among those who fancy the idea of a caliphate would not buy that....

Pamoja na malalamiko mengi tuliyonayo baadhi ya watanzania kuhusu ubovu wa CCM, haijafika hatua ya kuwa na ujinga huo. Be sure hata JK mwenyewe akisikia watu wanaongea hivi, he can even call them names.
 
TAALIFA ILIYOPO NI KUWA MWAKA 2015 HAKUNA UCHAGUZI WA RAISI ILI KWANZA CHAMA CHA CHADEMA KIWE IMARA ILI KIINGIE KWENYE UCHAGUZI KIKIWA IMARA taarifa hii toka togo kinondoni
 
....Jamani wana JF mtaniona kama taahira lakini sio hivyo,nina akili zangu timamu

Mi nshakuona wewe ni taahira ndg yangu, hakuna mnyamwezi mpuuzi kama wewe kalamata nakwambia. kwa lipi Kikwete arudi 2015
 
Last edited by a moderator:
....Jamani wana JF mtaniona kama taahira lakini sio hivyo,nina akili zangu timamu

Mi nshakuona wewe ni taahira ndg yangu, hakuna mnyamwezi mpuuzi kama wewe kalamata nakwambia. kwa lipi Kikwete arudi 2015

...Kwanza nimefurahi kwa kunitajia kabila langu tukufu.Unauliza kwa lipi Mh Rais Kikwete arudi madarakani?naanza kupata wasix2 huenda wewe si mtanzania halisi(samahani)Huyo ambae tulitegemea atatuvusha katika wimbi la umaskini kama sera zake zinavyonadiwa ameanza kupigwa mawe hata kabla hajapata huo Urais,ndio nikasema kwa upande wa ccm bado sijaona mgombea atakae fit,ndio nikapendekeza Mh JK tumpe tena muhula mwingine.wenzetu jahazi hata halijafika bandarini nahodha kalitoboa,unafikiri abiria watafika salama?jahazi limesha-anza kujaa maji.mwisho wake ni kuzama na abiria tumeshavaa LIFE JACKET
 
Ulipata mgao wa hela za korosho nini?! Hujui Tz sasa hivi Kalamata una heshima ya kuwa Rais ajaye? Nakushangaa kutafutia ulaji mtu ambaye Katiba inamtaja kumaliza zamu yake, au kakutuma?

Hajanituma,bali ndio uhalisia ulivyo,meli ya wapinzani imeanza kuzama kabla ya kufikisha mzigo bandarini,na mzigo wenyewe hauna bima.itakuaje?
 
....Jamani wana JF mtaniona kama taahira lakini sio hivyo,nina akili zangu timamu,yaani mpaka mda huu sioni nani atakae kua mrithi sahihi wa Jakaya kikwete ndani ya chama changu cha mapinduzi(CCM) bali naona siasa za fujo tu,tumesha waona wenzetu wa chadema,hata kabla ya kupewa ridhaa ya kuongoza Nchi kama wanavyodhani, tayari wameanza kugawana mbao na kuitoboa jahazi yao,ikisha jaa maji Nahodha atashindwa kuidhibiti jahazi mwishowe itazama.
Sasa huu ni muda muafaka wa sisi (CCM)Kumpa tena nafasi JK atuongoze maana juu ya udhaifu wao chadema wanaweza kutupiga bao kama hatutakua na chaguo SAHIHI,kama nitakua nimekosea naomba RADHI.

Taahira kweli. ungekuwa mzima usingekuwa unafikiria hivyo
 
....Jamani wana JF mtaniona kama taahira lakini sio hivyo,nina akili zangu timamu,yaani mpaka mda huu sioni nani atakae kua mrithi sahihi wa Jakaya kikwete ndani ya chama changu cha mapinduzi(CCM) bali naona siasa za fujo tu,tumesha waona wenzetu wa chadema,hata kabla ya kupewa ridhaa ya kuongoza Nchi kama wanavyodhani, tayari wameanza kugawana mbao na kuitoboa jahazi yao,ikisha jaa maji Nahodha atashindwa kuidhibiti jahazi mwishowe itazama.
Sasa huu ni muda muafaka wa sisi (CCM)Kumpa tena nafasi JK atuongoze maana juu ya udhaifu wao chadema wanaweza kutupiga bao kama hatutakua na chaguo SAHIHI,kama nitakua nimekosea naomba RADHI.

Huyu anafaa; Nahodha
 
Back
Top Bottom