Naomba sheria na kanuni zibadilishwe mh rais J.Kikwete agombee 2015

Naomba sheria na kanuni zibadilishwe mh rais J.Kikwete agombee 2015

We mtoka kubaya kweli ndg yangu. Hili linchi lina watu takribani milioni 49, hao ni waliohesabiwa ndg yangu. Kwanini awe huyo Kiwete unaemtaka wewe tuu. Na inaonyesha namna gani unavyokiogopa hicho chama cha wa Wachagga ndg kalamata.

Mimi binafsi sina chama ila bado nina Imani na Chama cha Mapinduzi lakini si haya mawazo yako ya kipuuzi na ya kilevi, na ulevi wa madaraka uliokujaa.

pole sana ndg yangu kwa kuwa na mawazo mgando, Jenga kwanza nchi mkuu, kama wenzako wanavyofanya hao wagombea watapatikana hiyo mwaka 2015
 
Last edited by a moderator:
....Jamani wana JF mtaniona kama taahira lakini sio hivyo,nina akili zangu timamu,yaani mpaka mda huu sioni nani atakae kua mrithi sahihi wa Jakaya kikwete ndani ya chama changu cha mapinduzi(CCM) bali naona siasa za fujo tu,tumesha waona wenzetu wa chadema,hata kabla ya kupewa ridhaa ya kuongoza Nchi kama wanavyodhani, tayari wameanza kugawana mbao na kuitoboa jahazi yao,ikisha jaa maji Nahodha atashindwa kuidhibiti jahazi mwishowe itazama.
Sasa huu ni muda muafaka wa sisi (CCM)Kumpa tena nafasi JK atuongoze maana juu ya udhaifu wao chadema wanaweza kutupiga bao kama hatutakua na chaguo SAHIHI,kama nitakua nimekosea naomba RADHI.
Halafu mkija kufanya tathmini mje mseme JF imeshusha kura
 
....Jamani wana JF mtaniona kama taahira lakini sio hivyo,nina akili zangu timamu

Mi nshakuona wewe ni taahira ndg yangu, hakuna mnyamwezi mpuuzi kama wewe kalamata nakwambia. kwa lipi Kikwete arudi 2015
wa Ifunda utawajua tu kwa majina yao
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom