Naomba Shetta Usinirudishe Enzi za Mr Nice - Dudu Baya

Kuna kipindi nilimski sister p akimpiga biti yule dogo pia kuwa aache kutumia jina la chemical..hawa wasanii wazan wamezidiwa maaarifa na madogo wamebaki kupigania majina
 
Ha ha ha ha ha ha nimecheka Ujinga first class
 
Sio busara kurithi kitu wakati mwenyewe yupo , Shetta mbona kuna wanyama wengi mwituni wenye majina ya kufurahisha! Mfano Fisi, mbweha,tiger! Yatumie tu bila ugomvi na Ze dudu mwenzio mshipa wa kupigana umemsimama mda wote!
 
Msanii SHETTA, ambae pia ni baba wa familia inayomtegemea yenye mke na mtoto wake amejikuta akiingia kwenye udhalilishwaji baada ya kumwiga msanii mwenzie diamond kwa kujipa majina ya wanyama, hali hii imetokea pale ambapo kajipa jina la Mamba jina ambalo msanii wa long time dudu baya mgomvi aliekwishawai kumtegua kiuno star wa enzi hizo Mr.nice kuweka hadharani kwamba mamba ni jina lake na Shetta asitumie jina hilo, hali hii iliambatanishwa na matusi mazito na kejeli nzito hali inayomfanya shetta baba mwenye familia aonekane dhaifu.

Dudu baya alihaririwa akisema shetta ana macho kama kenge na akijigamba yeye ni oil chafu haichafuki itakuchafua
 
Shetta na yy, kwann asiwe hata kenge kwan mpaka awe mamba
 
Si ajiite jina lingine, wanyama wapo wengi mno.
 
ha hahahaha haha binadamu bwana eti wanagombania majina ya wanyama ?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…