Naomba softcopy ya hiki kitabu

Naomba softcopy ya hiki kitabu

GOLD BOY

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2023
Posts
387
Reaction score
490
Nilivyoolewa na mwanaume shoga.

Mwandishi ni Juma hiza.

Screenshot_20240415-122606.jpg
 
Mpigie mwandishi akupe hard copy, no way ukapata softcopy
 
Naona mnakuja na mbinu mpya kila kukicha...[emoji12]
Mwandidhi ameandika ili kuelimisha jamii kwaio mtu alisoma anakuwa shoga toa ushamba,mnajifanya wajuaji wakati kichwani zero tu
 
Hata juma lokesheni alianza kama wewe tu mkuu[emoji12][emoji12]
Acha ujinga, hapa jf kunamada nyingi tunasoma khs ushoga kwaio unataka kunambia waliosoma wote ni mashoga acheni upuuzi wakipumbavu na ushenziiii
 
Mna jitihada hasa. Kwani haitoshi mkifokonyolewa wenyewe mpaka mfanye kila jitihada kuhusisha wengine?

Unajifanya kutafuta soft copy kumbe kuna hard ya kitu kingine kabisa unatafuta.
 
Back
Top Bottom