baharia 1
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 1,580
- 1,773
Habar wakuu,
leo nimeota karibu na ninapoishi nyumba karibia na kwa jirani yangu kuna sehemu ambayo kuna majani majani pamejificha, sasa hapo kuna mayai mengi kweli na mengine hadi yamechafuka na udongo, ya muda mrefu sana mimi nimeenda nikawa nayachukua naweka kwenye chombo ili nikapike nile na ugali.
Anayeelewa kidogo tafsiri yake wakuu.
Asanteni.
Mshana Jr ukuje hapa
leo nimeota karibu na ninapoishi nyumba karibia na kwa jirani yangu kuna sehemu ambayo kuna majani majani pamejificha, sasa hapo kuna mayai mengi kweli na mengine hadi yamechafuka na udongo, ya muda mrefu sana mimi nimeenda nikawa nayachukua naweka kwenye chombo ili nikapike nile na ugali.
Anayeelewa kidogo tafsiri yake wakuu.
Asanteni.
Mshana Jr ukuje hapa