Naomba tafsiri ya ndoto ya kuokota mayai

baharia 1

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2019
Posts
1,580
Reaction score
1,773
Habar wakuu,

leo nimeota karibu na ninapoishi nyumba karibia na kwa jirani yangu kuna sehemu ambayo kuna majani majani pamejificha, sasa hapo kuna mayai mengi kweli na mengine hadi yamechafuka na udongo, ya muda mrefu sana mimi nimeenda nikawa nayachukua naweka kwenye chombo ili nikapike nile na ugali.

Anayeelewa kidogo tafsiri yake wakuu.

Asanteni.


Mshana Jr ukuje hapa
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji38][emoji38][emoji120]
Nadhani ni ndoto tu huenda hujala mayai mda mrefu na unatamani mpaka unayaotea ndoto, sasa nashaurije nunua tray zima pika na ugali wakutosha, then ndyo ile wanaita "dream has come true" enjoy[emoji1] [emoji1]
 
Mlefu,adi,jilani bro umeishia darasa la ngapi?
 
em jiangalie vzr unaweza kuta we ndo umeangusha mayai ya uzazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…