N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 7,427
- 10,905
Tunaomba tafadhali muweke matuta. Watoto wanagongwa na watu wazima wanajeruhiwa. Barabara ni nzuri sana na nyoofu ila madereva wanalala mbele sana kwenye barabara hii na ukizingatia iko mtaani 'uswazi' watoto wafyekwa kwelikweli hapa. Hivi juzi akina mama waliweka mawe hapo barabarani.
Nami naomba muweke matuta kuwadhibiti madereva hawa.
Nami naomba muweke matuta kuwadhibiti madereva hawa.