Naomba Tariff Guide ya Benki zetu (kwa wafanyakazi wa banks)

Doltyne

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2011
Posts
440
Reaction score
173
Wana JF, Habari za majukumu.
Kuna utafiti nafanya kuhusu Bank Charges. Sasa Nahitaji Tariff Guides za Banks Mbali mbali za TZ, So far nimeshapata za bank kama Tano hivi. Sasa Kwa Yeyote anayeweza kunisaidia kupata Hii document Naomba anitumie kwenye email hii dotlyne@gmail.com.

Natanguliza shukrani zangu za dhati.

NB: Hii document, ni haki yetu wateja kupata. Lakini Banks nyingi sana zina act kama hii ni nyaraka ya siri mno. Nimepita kwenye branches nyingi sana nimesumbuliwa na wengine wananijibu kirahisi kabisa "Hatuwezi KUKUPA"....
 
Wadau Nimeshapata zifuatazo:
DTB, AZANIA, EXIM, UBA, NBC, AMANA, ICB na BARCLAYS. (Hawa Wametoa Bila Utata kwenye branch)
Kwa anayeweza kupata nyingine zozote, Please Email me.

Shukran
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…