Lengo ni yale mambo ambayo umejipangia ili uje uyatimize,mfano "nalima shamba kwa lengo la kuja kupanda mahindi"
"Naweka fedha kwa lengo la kuja kununua gari" "Lengo langu ikifika mwaka fulani nitajenga nyumba"
Dhumumi ni kusudio au sababu ya unalolifanya kwa wakati huo,mfano "Dhumuni langu la kuja hapa ni kuwajulia hali" so, lengo ni ile plani ya muda mrefu na dhumuni ni lengo la muda mfupi,
Nimejaribu,wataalamu watakuja kuongezea.