Naomba tufahamishane kwa wajuzi na wanaofanya biashara ya kununua nguo za kike za mitumba(especially suruali nzur za kike na blouses)pale memorial mos

Naomba tufahamishane kwa wajuzi na wanaofanya biashara ya kununua nguo za kike za mitumba(especially suruali nzur za kike na blouses)pale memorial mos

Navy seal soldier

Senior Member
Joined
Oct 6, 2019
Posts
148
Reaction score
276
Habari wanajamvi naomba msaada kwa wabobezi na wanaofanya biashara hii ya kuchukua nguo za mitumba kwa kupoint suruali na blouses za kike pale sokoni memorial moshi,binafsi ni mgeni Kanda hii ya kaskazini na natarajia kuanza kufanya biashara io ya nguo Kali za mitumba za kike.

Naomba kufahamishwa machimbo ya kuzipata hizo nguo pale memorial sokoni
Je kwa kupoint naweza kuchukua surual nzuri ya kike casual au skin kwa shingapi?
Blouse nzuri kwa kupoint naweza uziwa shingapi?

Kama Kuna mtu anaefanya biashara hi ya kuchukua nguo pale kwa sasa ningeomba anipe maelekezo kwa msaada wa taarifa Zaidi.

Ni hayo wanajamvi. Naomba kuwasilisha.

If we all help one another everybody wins
#daone
 
Daah Memorial nimepakumbuka nilikuwa naenda mara kadhaa. Watoto wa Bendel na sometimes Mawenzi nilikuwa nakutana nao kule. Ile The H Lodge apo kwenye barabara ya kwenda Soweto mi mwenyeji. Nimeokoka kwa muda nowadays.

Hapo nilichukua sana viatu na pull-over za kutosha. Sema kuna wadada wakali unakuta wanafanya biashara za kawaida wale wangekuwa mikoa flani wasingekuwa vile.
NB: Sorry kwa kutoka nje ya mada.
 
Daah Memorial nimepakumbuka nilikuwa naenda mara kadhaa. Watoto wa Bendel na sometimes Mawenzi nilikuwa nakutana nao kule. Ile The H Lodge apo kwenye barabara ya kwenda Soweto mi mwenyeji. Nimeokoka kwa muda nowadays.

Hapo nilichukua sana viatu na pull-over za kutosha. Sema kuna wadada wakali unakuta wanafanya biashara za kawaida wale wangekuwa mikoa flani wasingekuwa vile.
NB: Sorry kwa kutoka nje ya mada.
Haha pamoja saana kakaa sis ndo pande za huku tunapambania kombee
 
Huu uzi ulikosa kabisa wachangiaji khaa
 
Back
Top Bottom