fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
Hahahaha tena zege za kokoto nyeusi cement imekolea wee nomaahMbaya zaidi ukutane na zile kuta za zege utasema yote😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha tena zege za kokoto nyeusi cement imekolea wee nomaahMbaya zaidi ukutane na zile kuta za zege utasema yote😁
Hii unasomea wapi@black sniper...Alarm and security system installation
Hii kazi utahitaji vifaa vichache na ukisomea utapata riziki yako vizuri tu
Utaagiza cctv na vifaa vingine toka China na utawafungia watu kwa bei yako
Hii unasomea wapi@black sniper...
Dada sikuizi hakuna mchezo wala fani ambayo mwanamke haiwezi! Tembelea wizara zote zinazohusu masuala ya ufundi kama wizara ya ujenzi, wizara ya nishati na madini, TEMESA na kwingineko kote utawakuta mainjinia wa kike!Mwanamke unaweza kusomea
Mwanamke unaweza kusomea
Mkuu usimkatishe tamaa hizo fani za short time ya miezi 3,6 hadi 12 zipo. Ukiwa mwepesi hata hiyo miezi 3 mbona mingi sana! Kwa watu wengine mambo ya ufundi ni kipaji hivyo, kuingia darasani ni kama kuactivate tu, machine inawaka yenyewe!Unaweza lakiji sio kwa muda wa miez 3 6 hata mwaka bado kuwa fundiii
Hii unaweza somea kwa muda gani mkuuAlarm and security system installation
Hii kazi utahitaji vifaa vichache na ukisomea utapata riziki yako vizuri tu
Utaagiza cctv na vifaa vingine toka China na utawafungia watu kwa bei yako
Hii unaweza somea kwa muda gani mkuu
Soma refregeration and air conditioning Nenda veta hakikisha umejua vizuri sana. Utakuja kunishukuruHabari za majukumu wakuu. Naomba tujuzane kuhusu ufundi unaoweza kuusomea na ukakulipa vzr kwa hapa dar kwa miaka hii ya sasa. Natanguliza shukrani na karibuni kwa mawazo mbali mbali
Kozi ni ya muda gani?Soma refregeration and air conditioning Nenda veta hakikisha umejua vizuri sana. Utakuja kunishukuru
2 yrsKozi ni ya muda gani?