johnsonmgaya
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 2,818
- 3,730
One love mkuu just challenge tu [emoji106][emoji106]Someka basi mkuu,una tatizo na komenti zangu au kuna lingine,maana NIMESIFIA UMENIPONDA na sasa NIMEUPONDA bado unaniponda shida nini ........???
Mpenzi wangu.! Kwani ukitusifia walau siku moja tu kiba sauti itakauka??Queen Darling rudi ukampigie magoti King Kiba utoke tena.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hii ndio ile new 'hit' uliyoniambia itatoka baba?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
cc The bold
Mpenzi wangu.! Kwani ukitusifia walau siku moja tu kiba sauti itakauka??
Well siwezi kusema kuwa huu wimbo utakuwa "wimbo wa taifa" but ni nyimbo nzuri tu..
- Darleen ameimprove sana hasa vocally na uandishi (najua amepata msaada kwenye uandishi).
- Ingawa ile aliyoimbaga na kiba miaka hiyo might be her biggest hit but kimuziki humu amekuwa bora zaidi..
- Rayvany kama kawaida yake huwa hakosei.
- Laizer ameendelea kuuthibitishia ulimwengu kuwa hakubahatisha na ananifanya nisijilaumu kwanini tulimchukua..
Nirudie hii nyimbo haiwezi kuwa "wimbo wa taifa" but ameimprove sana musically.. Na utapigwa sana kwenye media na show kibao naona zinakuja kwa ajili yake..
Proud of her.. But not as much as am proud of you [emoji6] [emoji6]
(Muone sasa atakavyo toka povu [emoji23] [emoji23] )
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Na wewe kwani ukisema tu ukweli siku moja utakufa babe?
Huu wimbo ni kimeo kabisa, kwa kuutetea huku unanitia mashaka na kiwango chako cha ukweli.
Naona unataka nianze kumchukia dada wa watu bure [emoji35]
Hahahahaha mi nilijua kuwapokea wageni kama kina kusagaNaona katoa nyimbo ili aperfom beach party yao kumbuka alikuwa anaosha vyombo tu studio,
Hao si waswahili mkuu! uswahilini siunajua lugha zao?Afu wakiimba v2 vingne wawe wna2pa na maana yke,xax iyo "kijuso" ndo nn...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mnajisiiiifuuu wakati nyimbo zenyewe mnaandikiwa hhahahaha.!
Ngoja nikumegee siri babes! Unaijua ile nyimbo ya Nedy na Dimpoz??
Basi jana nimetumiwa hiyo nyimbo but version nyingine, ndio nikauliza imekuwaje?? Nikapewa stori dogo flani hivi kumbe ndio anawauzia nyimbo zake [emoji23] [emoji23]
Mpaka verse ya Dimpoz kwenye kajiandae aisee wamechukua kutoka kwa huyo dogo.. Alafu mwenyewe alivyoiimba kwenye nyimbo yake ndio tamu zaidi dimpoz kaiharibu tu..
Ila uzuri hamuibi huwa anawauzia!
Aisee roho ikaniuma kishenzi nikaomba nyimbo zake nyingine, wakanitumia daaaaaaahh dogo ni ny*k*.! Vocally, kiba, mondi, baraka, mavoko wote wanasubiri.. Dogo mkali wa vocal, melodies, uandishi aiseeee..
Unajua hizi timu zetu hizi mda mwingine zinafanya new talents wanakosa nafasi ya kusikika.. Huyo dogo ameniumiza roho sana, natamani nimkutanishe na mondi daaaaahh.!
Ila muache kununua nyimbo aisee, mtoto wa watu mnamnyonya [emoji23] [emoji23]
Msajilini basi aaaarrrgghh!!C'mon baby....
Uzuri hatuibi tunanunua,halafu hapohapo unasema tunamnyonya!
Tunamnyonyaje kama anatuuzia mwenyewe?
Kununua wimbo sio kitu cha ajabu,wasanii wote wakubwa duniani wananunua.
Nadhani unajua vyema tatizo mahaba ya timu yanakupofusha.
Mbona sisi ndio tuliomuibua rais wenu and still tuko cool?Msajilini basi aaaarrrgghh!!
Tukimchukua madale mtaanza kokoro.. Ooohh "dogo wetu yule" "tumemuibua sisi" hahahaha msajilini bhana..
Na hiyo stori yenu ya uongo mnavyoipenda [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mbona sisi ndio tuliomuibua rais wenu and still tuko cool?
Hivi ingekuwa Diamond ndiye Ali Kiba aliyetoa ruhusa Diamond kurekodiwa si mngetusimanga kinoma?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Na hiyo stori yenu ya uongo mnavyoipenda [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Who is kiba ndani ya sharobaro records mpaka "atoe ruhusa" nani arekodiwe nyimbo na nani asirekodiwe..
Hili tango nahisi alikumezesha jamaa flani hivi kwenye ule uzi wenu wa kiba [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wewe wa kukataa leo darling?
Whaaaaat?Unataka kusema ni Ankal wangu Matola?
[emoji12] [emoji12] [emoji12]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nilijua tu nikazunguka mbuyu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kaone eti Matola! Hahahahah usimsingizie Ankal
Hili tango pori ukimezeshwa na "Bwana yule" [emoji1] [emoji23]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nilijua tu nikazunguka mbuyu.
Sawa bwana [emoji6]