Dada kipaji hana,ila aliwai kutoka kuliko domoMaisha haya ya tanzania sijui yataisha lini baba akiwa jeshi watoto nao lazima wawe majeshi akiwa mwana siasa lazima watoto wafuate huko kwahiyo mondi muimbaji dada yake lazima naye awe msanii lazima apuyange tuuu anaforce kuimba
Sure ikixhomoka hit nyingine km ya darada tutawasahauWimbo mbaya, another worse hit from wcb
Kama wcb hawatabadikilika ndio tunawapoteza hivyo
Sio case babe,nitalidelete kama nilivyomdelete bwana yule.[emoji8][emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]
Sory [emoji85] ila hilo tango pori lidelete kichwani..
Mkuu toa pamba masikioni [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kweli masikio tumetofautiana, mbona ni bonge moja la ngoma.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sio case babe,nitalidelete kama nilivyomdelete bwana yule.[emoji8]
Mkuu sina uhakika na hilo ila natambua Doreen ndio wakwanza kutoa ngoma na ikahit kipindi Hata SIMBA cjui alikuwa mtaa ganiMaisha haya ya tanzania sijui yataisha lini baba akiwa jeshi watoto nao lazima wawe majeshi akiwa mwana siasa lazima watoto wafuate huko kwahiyo mondi muimbaji dada yake lazima naye awe msanii lazima apuyange tuuu anaforce kuimba
Nimeusikiliza huo wimbo wake ni mbaya wame puyanga hakuna kitu!
Si wana uwezo wa kufanya kibaya kiwe kizuri? Haya wakazane na huyo sasa.Kwa huo mfano diamond ndo kamfata dada ake. Yaan queen darlin ndo wakwanza kutoka kimuziki ingawa hakufanikiwa bado.
taratiibu basi.huyu ni Queen Darlin nabwa Dar Skendo alikua anaitwa Doreen Mkude.watu wawili tofautiDadaake kaanza kuimba kabla hata Diamond hajulikani. Kama utakuwa mfuatiliaji was mziki utakumbuka mwanadada wa kwanza katika kundi la Dudu Baya "Dar skendo " ndo huyo Queen Darleen .sema kipaji chake cha kawaida sana.