Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbonawadau za mda huu
Naomba tupeane updates kidogo kwa wale walioenda kufanya interview ya oral dodoma baada ya kupita written ya TRC
Oral ilifanyika tarehe 9 february na leo ni february 28 mwezi umeisha
Naomba tupeane updates kwa waliofanikiwa kuitwa kazini
Soma kidgo hujanielewa ni kwamba update kuanzia leo placement inaweza kufanyika maana oral ilifanyika trh 9 kama leo sio lazima mda huu hata jioni au kesho na kuendelea maana mwezi umeishaMbona hutumishi hakuna placement yoyote.. au umesikia Ajira zishatoka tayari ili watu waripoti vituoni..?
Si umesema Walifanikiwa kuitwa kazini... Ndo maana nimekuambia hvyo au Huwa mnapigiwa Simu individual...!!!Soma kidgo hujanielewa ni kwamba update kuanzia leo placement inaweza kufanyika maana oral ilifanyika trh 9 kama leo sio lazima mda huu hata jioni au kesho na kuendelea maana mwezi umeisha
Waliofanikiwa kuitwa coz ishafanyika bado hawajatoa publicSi umesema Walifanikiwa kuitwa kazini... Ndo maana nimekuambia hvyo au Huwa mnapigiwa Simu individual...!!!
Sasa sijui nn sijaelewa hapo
Tatizo hueleweki kijna,,, Unafanya makosa ya kiundishi mwsho wa siku unakuja kusababisha utata wa maana,, karibu kusoma vizuri nyuzi yako alafu uone kama uko sahihi na hiki unachokizungumza hapa..Waliofanikiwa kuitwa coz ishafanyika bado hawajatoa public
Ndo majibu hayo niliyotakTatizo hueleweki kijna,,, Unafanya makosa ya kiundishi mwsho wa siku unakuja kusababisha utata wa maana,, karibu kusoma vizuri nyuzi yako alafu uone kama uko sahihi na hiki unachokizungumza hapa..
Alafu unakuja kunambia nisome vizuri, kwani kusoma nimejua leo...?
Sasa nikwambie tu utumishi hawajaita watu kazini kwa hyo kada yenu Endelea kusubiri
mzigo tayar
Sijajua ngoja waje wadauGross salary ya engineer II ni ngapi pale TRC?
Wameajiri wengi angalauNaona vijana wamekula shavu si haba ni wengi
1.6mGross salary ya engineer II ni ngapi pale TRC?