Mtaamuuwa dada wa watu naHiyo miaka minne ungempa saporti mume wako mngekuwa kwenu
ngoja ukaonje joto ya mawe;
Lazima ujiandae kiakili utakuwa chini ya uangalizi mkali
Magrupu yetu na nani kichwapanzi!Kwanini unilazimishe nimshauri mawazo yako! muache akapambane na hali yake..haina haja yakwenda kwa wakwe..imeandikwa. MWANAMUME ATAMWACHA BABA NA MAMA YAKE..NA ATAAMBATANA NA MKEWE.
USIENDE UTAPATA UGONJWA WA MOYO PLZ..MY MUM TULIVYOKUA WADOGO ALIWAHI KUISHI NA WAKWE ZAKE ALINISIMULIA KILICHOMKUTA MWEEH NI HUZUNI! WALIMBAGUA MNO...JAPOKUA ALIKUA ANA WATII MNO..NENDA KATAFUTE HATA ROOM MBILI MUISHI KIROHO SAFIIkwa kweli umeongea kitu cha ukweli ambacho hiko nina kifikiria sitaki maisha ya kujiact nataka niishi nikiwa na uhuru kama nikiwa kwangu na mume wangu itabidi ifikie hatua ukubaliane na viu ambavyo ukiwa wewe kama wewe hutovitaka lakini kwa kua upo under one roof na wakwe na mawifi ni lazima uvikubali sasa hapo ni kujikwaza
UNGESOMA VIZURI UNGEELEWA..KWAVILE UNA WENGE HUTAKAA UNIELEWE! PITA HIVI......Kwa kinyume hapo unajua mwenywe
Ulichomaanisha
Triple A
mkuu kwa vile wote mnakipato mnaweza kukaa na kupanga mipango ya maisha bila kuwa na mashaka kama hayo uliyonayo sasa. mnaweza kuangalia nyumba yenye kuendana na kipato chenu au kama ongezeko sio kubwa bora kulipa na maisha yanaendelea kwa nini kwenda kuishi sehemu mwenye unamashaka ambayo yanaweza kutokea unavyofikiri au pia inaweza isitokee kuepusha sintofahamu hiyo basi jipangeni wenyewe.
Sasa bi dada kama na wewe unafanya kazi shida nini? Kwanini msitafute nyumbani inayoendana na kipato chako mambo mengine kujitakiwa ni afadhali ukaishi kwako ukala dagaa kuliko kujipanga ukweni na watoti mmeo kanda ya ngosha nini!KWA KWELI YAANI NITAKONDA NIWE KAMA MOJA
Mpeleke Kwenu Kama Kwao Hupawezikwa kweli umeongea kitu cha ukweli ambacho hiko nina kifikiria sitaki maisha ya kujiact nataka niishi nikiwa na uhuru kama nikiwa kwangu na mume wangu itabidi ifikie hatua ukubaliane na viu ambavyo ukiwa wewe kama wewe hutovitaka lakini kwa kua upo under one roof na wakwe na mawifi ni lazima uvikubali sasa hapo ni kujikwaza
Nyie Madada Hela Zenu Huwaga Za Kwenu Tu Ila Ya Mwanaume Yenu Wote Sasa Mwanaume Kayumba Mnaponda Kwenda Ukwenimkuu kwa vile wote mnakipato mnaweza kukaa na kupanga mipango ya maisha bila kuwa na mashaka kama hayo uliyonayo sasa. mnaweza kuangalia nyumba yenye kuendana na kipato chenu au kama ongezeko sio kubwa bora kulipa na maisha yanaendelea kwa nini kwenda kuishi sehemu mwenye unamashaka ambayo yanaweza kutokea unavyofikiri au pia inaweza isitokee kuepusha sintofahamu hiyo basi jipangeni wenyewe.
Mlipokosea ni hapo ni heri mngehamia kwanza nyie hapo kisha mkamwambia mama aje hapo awakute yeye kisha ndiyo muwe mnatafuta kujenga sehemu nyingine sasa my dear panga hata chumba na ukumbi na wanao na mdada wako lakini ukweni mie mmmmmm nilishazoea kujiamlia panga kwako siku hizi bei za nyumba zimeshukaYAANI SAPOTI NILIYOITOA HUWEZI KUIJUA WEWE NDUGU YANGU HIYO NYUMBA NI ALIIJENGA YEYE AKAMWAMBIA AHAMIE MAMA YAKE KUMSITIRI KWA KUA HATA WAKATI HUO MAMA AKE ALIKUA ANAISHI KWENYE NYUMBA YA KUPANGA KWA HIYO AKAONA NI VEMA KUMUWEKA MAMA PAZURI NA AKISHATULIA MAMA TUNAANZA KUJENGA KWETU NI MWAKA UNAKARIBIA SASA NA HIYO NI SUCRIFICE NA SUPPORT KUBWA NILIYOKUBALI KUWA MUME WANGU AMUWEKE MAMA KTK MAISHA MAZURI. NA MM NILIKUA COMFORTABLE HAPA TULIPO
Halaf hakuna anaeweza kuelewaUNGESOMA VIZURI UNGEELEWA..KWAVILE UNA WENGE HUTAKAA UNIELEWE! PITA HIVI......
Wewe unazani wanapenda ni tamaduni zao embu fatilia channel 10 leo saa3 uone mama mkwe anavyomfatilia mke wa mwanaye hataki hata watekenyane chmbani kwao muda wote anagonga mlangoniMBONA WAARABU,WAZUNGU,WACHINA NA WAPEMBA WANAISHI NA WAKWE ZAO AU WEWE MVIVU MVIVU UNANAVYO ONEKANA NDIO MAANA UNAJICONFESS KWA KUHOFIA KUWA UTASHINDWA KUISHI UKWENI
Kama unaweza kuweka pamba masikioni.....huu ni utaratibu ambao tunajiwekea ktk family kuwa week end baada ya mihangaiko ya wiki nzima tunatumia muda mwingi kupumzika then tanaendelea na ratiba za kila siku na nimetolea tu mfano na hata ikiwa nitalala hadi saa zote ni kuwa tayari huyu mume wangu anaelewa mazingira halisi ya kazi wiki nzima ni kitu cha kawaida unaamka unawali unaweka chai then tunarudi tunachapa usingizi sasa ratiba kama hii kwa wanaokuzunguka waweza kuitwa mvivu lakini sio uvuvi ni utaratibu ambao mtakua mmekubaliana mume na mke
Mwambie mumeo aache pride ya kiafrika.....asante sana mm binafsi nimejenga nyumba ina 3 bedrooms but haina umeme mm nipo tayari kwenda tukaishi kwenye hii nyumba yangu lakini mume wangu hataki kwa kua anadai ni mbali sana usafiri tunao ila hayupo tayari kuishi ktk nyumba niliyoijenga
anataka tukaishi kwao kwa kua hiyo nyumba ya kwao aliijenga yeye ila ndio familia yote ipo humo mm nitakua na room yangu tu
yaani nachokaje sijawahi kugombana na mkwe au wifi wala shemeji naishi nao vizuri na wananipenda ila kwa kua tupo mbalimbali na nijelewa na uwezo wa kuyapuuza maudhi madogo kwa kua tulikua tupo mbali mbali sasa ninawaendea chini ya miguu yao
uuuwwwwwwiiiiiiiiiiiiiiiiiii
oh mama ako ni single mother! ebu nitolee laana mimi siyo single mother labda hao dada zako! jifunze kutokushobokea usiowajua!Halaf hakuna anaeweza kuelewa
Ujinga kama huu ulioteyp hapo
UNA MIDADI HADI UNAPEPESUKA KWENYE KUANDIKA
Single mother mnasumbua sana
Makosa hayakuag yenu
Triple A