Naomba tusaidiane kwa hili

Naomba tusaidiane kwa hili

Karucee

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2012
Posts
18,155
Reaction score
34,303
Habari za jioni fellow chefs. Naomba tutumie thread hii kujuzana ingredients zinazotutatiza. Kama una picha sio mbaya kuambatanisha katika ufafanuzi. Mfano kuna vyakula ambavyo hujui Kiswahili chake ama Kiingereza chake na ungependa kujaribu kuvipika ila hujui upate wapi na kwa jina gani.
Mie naanza kwa kuomba kujuzwa vyakula vifuatavyo. Je Kiswahili chake ni kipi na vinapatikana wapi?
1. Fenugreek seeds
2. Chickpeas
3. Black Beans
4. Asparagus
5. Wheat Germ
6. Capsicum
7.Salmon

....... nitaongeza na vingine. Karibu na wewe ndugu yangu uulize cha kwako.

TIA!!
 
Jamani msaada mieeeeee
Naongeza ingine

Bay Leaves
 
Pia kuna kitu kinaitwa sambaro kwa kiswahili ningependa kujua jina kwa kiingereza
 
na mimi nataka kujua asparagus ni nini MziziMkavu uko wapi?
Ni jamii fulani ya mboga inayopatikana ulaya na nchini Uturuki pia ipo kama picha inavyojieleza hapa chini.

Asparagus-Bundle.jpg
 
Habari za jioni fellow chefs. Naomba tutumie thread hii kujuzana ingredients zinazotutatiza. Kama una picha sio mbaya kuambatanisha katika ufafanuzi. Mfano kuna vyakula ambavyo hujui Kiswahili chake ama Kiingereza chake na ungependa kujaribu kuvipika ila hujui upate wapi na kwa jina gani.
Mie naanza kwa kuomba kujuzwa vyakula vifuatavyo. Je Kiswahili chake ni kipi na vinapatikana wapi?
1. Fenugreek seeds
2. Chickpeas
3. Black Beans
4. Asparagus
5. Wheat Germ
6. Capsicum
7.Salmon

....... nitaongeza na vingine. Karibu na wewe ndugu yangu uulize cha kwako.

TIA!!
1. Fenugreek seeds kwa kiswahili (Uwatu)
2. Chickpeas kwa kiswahili hakuna jina lake hilo hilo chickpeas
3. Black Beans kwa kiswahili Maharage meusi
4. Asparagus kwa kiswahili Asparagus
5. Wheat Germ kwa kiswahili Ngano kijidudu.
6. Capsicum kwa kiswahili Pilipili mboga

chickpeas.jpg

Chickpeas (Dengu)

images

Black Beans Maharage meusi.


Asparagus-Bundle.jpg



Asparagus


images

White germ ngano Kijidudu



images


Capsicum Pilipili mboga.


Fenugreek seeds.jpg


Fenugreek Seeds kwa kiswahili Uwatu Mkuu.@Karucee
 
Asante sana mkuu wangu Mzizi Mkavu. Kumbe pilipili hoho ndio capsicum? Amazing.
Nganoo kijidudu tena? lol. Asante kwa yote.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Kaizer Sio kweli kuwa chickpeas ni dengu kwa kiswahili. Dengu kwa kiingereza inaitwa jina hili lentils
lentils.jpg

Dengu au kwa lugha ya kiingereza inaitwa lentils
Mkuu MziziMkavu, ni kweli dengu zinaitwa chickpeas kwa kiingereza. Lentil ni aina nyingine tu jamii ya kunde, na ladha ya hizo green lentils inakaribiana na taste ya choroko (Mung beans). Sifahamu lentils kwa kiswahili zinaitwaje.
 
Last edited by a moderator:
1. Fenugreek seeds kwa kiswahili (Uwatu)
2. Chickpeas kwa kiswahili hakuna jina lake hilo hilo chickpeas
3. Black Beans kwa kiswahili Maharage meusi
4. Asparagus kwa kiswahili Asparagus
5. Wheat Germ kwa kiswahili Ngano kijidudu.
6. Capsicum kwa kiswahili Pilipili mboga

chickpeas.jpg

Chickpeas

images

Black Beans Maharage meusi.

asparagus.jpg


Asparagus


images

White germ ngano Kijidudu



images


Capsicum Pilipili mboga.

Fenugreek_seeds.jpg

Fenugreek Seeds kwa kiswahili Uwatu Mkuu.@Karucee


MziziMkavu,
Nakushukuru sana kwa mambo mbali mbali ambapo kweli kila mtu anakufurahia jinsi unavyojibu maswali ya watu na usahuri wako mimi binafsi umeniletea mambo a mbayo yamenisaidia personally.
Mungu akubariki sana.
SHIDA YANGU NATAKA NIJUE NITAPATAJE CO CONVERT KILOS TO OZ?
Kuna recipe moja nimeona kwenye kitabu cha 250 recipes na kutaja 60 g au 2 oz nimeshindwa kujua nitapataje hii measurement maana sina mzani nyumbani kwangu
Mizani ya jikoni naweza kupata supermarket? Nisaidieni wapendwa unajuwa tena ushamba mwingine si wakuficha ukisema wenzako watakusadia bwana.....
 
Mkuu MziziMkavu, ni kweli dengu zinaitwa chickpeas kwa kiingereza. Lentil ni aina nyingine tu jamii ya kunde, na ladha ya hizo green lentils inakaribiana na taste ya choroko (Mung beans). Sifahamu lentils kwa kiswahili zinaitwaje.

Mwasi asante kwa ufafanuzi murua, naamini mzee MziziMkavu atakuwa ameelewa sasa
 
Last edited by a moderator:
tezzy, semolina ni unga wa suji. teh hee hee. zaidi ya hapomi husema unga wa mabaki ya ngano.
Naongeza jamani semolina ni nini kwa kiswahili
 
Last edited by a moderator:
Mimi sijaridhika na maana ya Asparagus kwa kiswahili. Hilo neno haliwezi kuwa Kiswahili. Tuendelee kutafuta maana yake zaidi.
 
Back
Top Bottom