Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,324
- 17,846
Vipi tena kichuna[emoji12]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi tena kichuna[emoji12]
Chick Peas Tanzania hakuna zipo hizo za aina ya Lentils Aka Dengu, Chick Peas zipo Uarabuni na ulaya Tanzania hakuna angalia hiyo picha ya Chick Peas hapo chiniMkuu MziziMkavu, ni kweli dengu zinaitwa Chick Peas kwa kiingereza. Lentil ni aina nyingine tu jamii ya Dengu, na ladha ya hizo green lentils inakaribiana na taste ya choroko (Mung beans). Sifahamu lentils kwa kiswahili zinaitwaje.
Ni uwatuFenugreek seeds.... mbegu za haladari
Convert 1 kilos to ouncesMziziMkavu,
Nakushukuru sana kwa mambo mbali mbali ambapo kweli kila mtu anakufurahia jinsi unavyojibu maswali ya watu na usahuri wako mimi binafsi umeniletea mambo a mbayo yamenisaidia personally.
Mungu akubariki sana.
SHIDA YANGU NATAKA NIJUE NITAPATAJE CO CONVERT KILOS TO OZ?
Kuna recipe moja nimeona kwenye kitabu cha 250 recipes na kutaja 60 g au 2 oz nimeshindwa kujua nitapataje hii measurement maana sina mzani nyumbani kwangu
Mizani ya jikoni naweza kupata supermarket? Nisaidieni wapendwa unajuwa tena ushamba mwingine si wakuficha ukisema wenzako watakusadia bwana.....
Mkuu heshima yako.chickpeas Tanzania hakuna zipo hizo zaaiana ya Lentil,chickpease zipo uarabuni na ulaya Tanzania hakuna angalia hiyo picha ya Chickpeas hapo chiniView attachment 468902
Kwanza hiyo Black matpe (Urad dal) ni jamii ya kunde tofauti Black Beans Maharage meusi. Black matpe ni jamii ya kunde na hiyo Black Beans ni Maharage meusi sijuwi kama yanapatikana hapo nchini Tanzania hayo maharage meusi?Mkuu heshima yako.
Black matpe (urad dal) ni sawa na black beans? Na je Tanzania yanapatikana?
Sent using Jamii Forums mobile app