klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
hehehe dogo askushtue, atalembewa kibuti na bebii muda si mrefu. Wewe utamtongozaje bebii wakati avatar lenyewe bendera ya TZ, at least angeweka bendera ya Canada au shekoslovakia. Wee mtoto ana jina la kiingereza unakwenda kumtongoza kwa kiswahili, imekula kwake.niko kwenye kale ka mpango ka kumtwanga shetani na mawe....
halafu hyu dogo ananichanganyia habari....mi huku nilikuwa nashona nyavu za kumvulia huyu bebii halafu yeye anaenda pablik bana....ah! sichelewi kumgeuzia huyu dogo kibla!
hakika, kila ukiwa na stress ingia tu humu, zitamalizwajf is never boring these days..lol
kwahiyo kama anakukubali ndio aanze yeye kukuPM akuapproach? Wanawake hatupendi hizo bana.
una mastercard?
hakika, kila ukiwa na stress ingia tu humu, zitamalizwa
Bebii please toa tamko..au silent means YES ha ha ha ha ha ha.
Interesting! Husninyo umeshafika kwa omba omba? Missing you! loll
una mastercard?
Too late jamani mi nina wiki kadhaa sasa nawasiliana na Bebii na tumefikia mbali sana na wengine hebu geukieni sehemu zingine hadi huku mnaweka ushindani,na nimemwambia bebii asijibu lolote na mwisho akupige kibuti na ukimbie humu jf au uende likizo....Naomba Bebii uni-PM tafadhali,naona unafaa kuwa mwenzi wangu wa maisha.
Too late jamani mi nina wiki kadhaa sasa nawasiliana na Bebii na tumefikia mbali sana na wengine hebu geukieni sehemu zingine hadi huku mnaweka ushindani,na nimemwambia bebii asijibu lolote na mwisho akupige kibuti na ukimbie humu jf au uende likizo
good Bebii we soma haya mawazo tu lakini usijibu lolote kama tulivyoongea!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!