nani?naomba tuheshimiane kama nipo jf kwa raha zangu sipendi kero wala malumbano.so naomba uendelee na kilichokuleta hapa achana na mimi kabisa kabisa.una maisha yako sikusumbui na wewe naomba usinisumbue hapa jf okeeeMkuu wewe jidanganye wakati jana kani-PM mida kama ya saa mbili usiku hivi..............
Si nilikitabiri hiki kibuti, waswahili mkabisha? heheeh kulaleki!nani?naomba tuheshimiane kama nipo jf kwa raha zangu sipendi kero wala malumbano.so naomba uendelee na kilichokuleta hapa achana na mimi kabisa kabisa.una maisha yako sikusumbui na wewe naomba usinisumbue hapa jf okeee
nani?naomba tuheshimiane kama nipo jf kwa raha zangu sipendi kero wala malumbano.so naomba uendelee na kilichokuleta hapa achana na mimi kabisa kabisa.una maisha yako sikusumbui na wewe naomba usinisumbue hapa jf okeee
nani?naomba tuheshimiane kama nipo jf kwa raha zangu sipendi kero wala malumbano.so naomba uendelee na kilichokuleta hapa achana na mimi kabisa kabisa.una maisha yako sikusumbui na wewe naomba usinisumbue hapa jf okeee
Hilo tuliliona mapema sana ila tulisubiri kibuti kitakachokurudisha kwenye siasa........eti hili jukwaa lina uchuro...dah umenichekesha sana!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ha ha ha ha ha ha ha ah ah!!! Haya bebii mimi nilitaka uongee tu,naona mission immpossible......ngoja nirudi zangu kwenye siasa tu,maana hili jukwaa lina uchuro.....