Naomba udhamini wa masomo ya udaktari

sudybrainy

Member
Joined
Oct 8, 2018
Posts
7
Reaction score
7
Naitwa Hussein Masoud,ni clinical assistant (CA),nipo Mwanza mjini katika chuo cha afya na sayansi shirikishi BWIMA kilichokua kikitambulika kama victoria zamani, kwa sasa nimebakisha mwezi mmoja nifanye mitihani yangu ya kuhitimu diploma in clinical medicine level 6 itakayo fanyika February mwaka 2022, ila ninadaiwa na chuo ada pia nimeishiwa pesa za kujikimu hivyo ninaomba udhamini ili nimalize masomo yangu.

Nitaingia makubaliano (mkataba )na taasisi au mtu mwenye dispensary au polyclinic kufanya kazi katika taaisi yake kwa mshahara mdogo sana hata elfu hamsini, chakula na malazi kwa muda wa mwaka mmoja au zaidi kulingana na makubaliano tutakayoingia. Napatikana kwa namba za simu 0763409185 na whats app pia kwa namba hizo hizo, Ahsanteni.

 
Muumba wa ardhi na mbingu akutangulie inshaallah upate utakacho kijana elimu ni kila k2 maishani na ww ukipata mfadhili akakuamini pia na ww aminika kwa kusoma
NB: Ukikosa mfadhili tafuta NGOs huwa wanasaidia mno na kwa vile wewe muislam waweza watafuta ISDB ofisi zao zipo Kariakoo Dar huwa wanatoa Scholarship kwa vijana wa kiislam wasiojiweza
 
Insha Allah,Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi bro Hussein
 
Mkuu ebu mcheki Malisa Goldlisten kuke fb, anaweza fanya kitu mkuuu wangu
 
Nenda hospitali yeyote binafsi iliyo karibu nawe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…