Naomba ufafanuzi juu ya hili la ajira za afya Tamisemi

Naomba ufafanuzi juu ya hili la ajira za afya Tamisemi

Riz king

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2018
Posts
276
Reaction score
549
Nilipata changamoto ya kukataliwa Registration namba yangu tangu juzi lakini nimejaribu leo ikanletea neno kua Registration number verification failed nilipo bonyeza option ya ok nikarugusiwa kuapload transcript pamoja na cheti na wakanijazia 100. Wasiwasi wangu ni neno Registration number verification failed waloniandkia mwanzo je haitawaletea shida wao kunisoma huko ingawa nimejaziwa100
 
Haina shda kabisa, kama walikuletea option ya transcript, vp kada gan ya afya umesomea
 
Pia naomba msaada kuna bwana mdogo namfanyia application ila nimepata changamoto kwenye kuchagua mikoa
ukibofya mikoa haiji
naomba msaada tafadhali
 
Pia naomba msaada kuna bwana mdogo namfanyia application ila nimepata changamoto kwenye kuchagua mikoa
ukibofya mikoa haiji
naomba msaada tafadhali
Kuhusu mikoa kutokufnguka, inatia hasira ila nikujarb marakwamara itakubal, mikoa inatogoma mara nyng watu wengi wanakua wameiomba so kua mvumilivu
 
Screenshot_20220425-160805~2.png
 
Kifupi Tamisemi hawagitaj mbwembwe wanachotaka ni Una vyeti na licence, vngne hawataangalia, ni watu wa short and clear
 
Kifupi Tamisemi hawagitaj mbwembwe wanachotaka ni Una vyeti na licence, vngne hawataangalia, ni watu wa short and clear
Kuna watu wamaambatanisha Barua na CV ,ila sijui Kama Ni sahihi sana
 
Nilipata changamoto ya kukataliwa Registration namba yangu tangu juzi lakini nimejaribu leo ikanletea neno kua Registration number verification failed nilipo bonyeza option ya ok nikarugusiwa kuapload transcript pamoja na cheti na wakanijazia 100. Wasiwasi wangu ni neno Registration number verification failed waloniandkia mwanzo je haitawaletea shida wao kunisoma huko ingawa nimejaziwa100
Mkuu kwenye kuchagua vituo vp umefanikiwa kujaza vituo zaid ya kimoja na vikaonekana baada ya kusev?
 
Mkuu kwenye kuchagua vituo vp umefanikiwa kujaza vituo zaid ya kimoja na vikaonekana baada ya kusev?
Hapana mkuu hakuna hata kdogo nmechagua lakn nafas za majna hazionekani ingawa wamejaza 100
 
Back
Top Bottom