Naomba ufafanuzi juu ya ulaji wa mafuta wa hii Toyota IST

Naomba ufafanuzi juu ya ulaji wa mafuta wa hii Toyota IST

lilraq12345

Member
Joined
May 25, 2017
Posts
19
Reaction score
35
NCP65
1490cc
Model 2005
AWD
Full tank inatembea maximum 370km to 350km
Huwa nawasha A.C sio mda wote mara moja moja na nishafanya majaribio zaidi ya maratatu swali langu linakuja ni normal ulaji huo au Kuna tatizo dashboard inajionuesha Kila kitu gari Haina tatizo lolote lingine services nafanya Kila baada ya km 5000 ilikuja na km 150000 kutoka Japan.

kama IST zenye model hizo ni kawaida ulaji huo sawa tatizo sio Hela ya mafuta imenishinda ila tatizo ulaji huo ni kawaida au Kuna tatizo?

PXL_20220323_071356318.jpg
 
1490 cc full AC Lita 1 km 11 hadi 13 kwenye barabara za mijini. Safari ndefu 15km hadi 16km.

Alafu hizo 5,000km unatumia oil gani?

Alafu kwanini unanunua gari iliyotembea km nyingi?
Nafkiri pia Kuna gari zinakuja nyingi na km hizi hizi wengi zinardishwa km ila pia zipo zinazokuja na km nyingi still ulaji wa mafuta ni WA chini au kwasababu ya hii AWD kuzungusha matairi yote manne
 
177131km.....hii ipo sawa kabisa kwa ulaji huo, kama ulinunua bongo mkononi utakuta ilkuwa 250k km..
ushauri: Achana na kuwaza service kubwa kubwa utapoteza pesa bure, tafuta mnyasa muuzie kwa 7m au 8m alafu ongezea hapo uvute nyingine
 
177131km.....hii ipo sawa kabisa kwa ulaji huo, kama ulinunua bongo mkononi utakuta ilkuwa 250k km..
ushauri: Achana na kuwaza service kubwa kubwa utapoteza pesa bure, tafuta mnyasa muuzie kwa 7m au 8m alafu ongezea hapo uvute nyingine
Km nyingi sana anategemea gari lirudi kwenye ujana wake!

Ni kama Mrema na mkewe unategemea nini alafu mkewe anatuambia eti atamfanya Mrema awe kijana!
 
NCP65
1490cc
Model 2005
AWD
Full tank inatembea maximum 370km to 350km
Huwa nawasha A.C sio mda wote mara moja moja na nishafanya majaribio zaidi ya maratatu swali langu linakuja ni normal ulaji huo au Kuna tatizo dashboard inajionuesha Kila kitu gari Haina tatizo lolote lingine services nafanya Kila baada ya km 5000 ilikuja na km 150000 kutoka Japan.

kama IST zenye model hizo ni kawaida ulaji huo sawa tatizo sio Hela ya mafuta imenishinda ila tatizo ulaji huo ni kawaida au Kuna tatizo?

View attachment 2165803
Kwenye makundi ya Magari madogo IST is still the best kwenye consuption. 1 litre ni kati ya 10-12Km. Chini ya hapo basi kuna tatizo.
 
Oil ni Castro Ila sijui namba ngapi najua Jina Ila majaribio nishafanya zaidi ya mara moja ulaji the same mpaka nimewaza kuiuza
Uza hio gari mkuu tena kama ni namba mpya watu huwa hawajali😂 haitamaliza siku 3 kuna mtu atajichopeka mpe akahangaike nalo. Tofauti ya msingi ni kuwa hio gari yako ni all-wheel drive ila sidhani pia kama ndio kigezo cha ulaji mmbovu namna hio
 
Wasubiri wataalam wa magari waje. Yangu inaita 180k plus, huo ulaji si wa kawaida. Kuna plug, aina ya oil, uendeshaji, filter hizo na kuna thread hapa mtu ali flush engine mambo yakawa mazuri. By the way, gari nyingi bongo zina km nyingi.
 
Kwenye makundi ya Magari madogo IST is still the best kwenye consuption. 1 litre ni kati ya 10-12Km. Chini ya hapo basi kuna tatizo.
vp kuhusu Premio maana watu wanalisifia na mm Mungu akijalia nataka nivute mwaka huu
 
Kama Kuna mtu pia ana ist yenye hii AWD anipe mrejesho yake ipoje kwenye unywaji wa mafuta
1L = Km 11.9, hizi zote ni Town trips na ni ya 2002 AWD . Odometer 114,000+

Bado tatizo linaendelea ?
 
NCP65
1490cc
Model 2005
AWD
Full tank inatembea maximum 370km to 350km
Huwa nawasha A.C sio mda wote mara moja moja na nishafanya majaribio zaidi ya maratatu swali langu linakuja ni normal ulaji huo au Kuna tatizo dashboard inajionuesha Kila kitu gari Haina tatizo lolote lingine services nafanya Kila baada ya km 5000 ilikuja na km 150000 kutoka Japan.

kama IST zenye model hizo ni kawaida ulaji huo sawa tatizo sio Hela ya mafuta imenishinda ila tatizo ulaji huo ni kawaida au Kuna tatizo?

View attachment 2165803

IST hata iwe AWD haiwezi kushuka chini 12km/L
 
Back
Top Bottom