Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,458
- 4,283
Kama Kuna mtu pia ana ist yenye hii AWD anipe mrejesho yake ipoje kwenye unywaji wa mafuta
Mimi nina Vitz manual ya 2000 yenye Cc 1290 ambayo hivi sasa ina kilomita 170,000+ lakini bado inakwenda kama 18km/1lt nikiwa Highway na speed ya 140km/h. City trips (go and stop) inakwenda 16km/1lt.NCP65
1490cc
Model 2005
AWD
Full tank inatembea maximum 370km to 350km
Huwa nawasha A.C sio mda wote mara moja moja na nishafanya majaribio zaidi ya maratatu swali langu linakuja ni normal ulaji huo au Kuna tatizo dashboard inajionuesha Kila kitu gari Haina tatizo lolote lingine services nafanya Kila baada ya km 5000 ilikuja na km 150000 kutoka Japan.
kama IST zenye model hizo ni kawaida ulaji huo sawa tatizo sio Hela ya mafuta imenishinda ila tatizo ulaji huo ni kawaida au Kuna tatizo?
View attachment 2165803
NiuzieMimi nina Vitz manual ya 2000 yenye Cc 1290 ambayo hivi sasa ina kilomita 170,000+ lakini bado inakwenda kama 18km/1lt nikiwa Highway na speed ya 140km/h. City trips (go and stop) inakwenda 16km/1lt.
Mkuu. Mimi mwenyewe niliibahatisha tu. Yaani ninatamani kuuza gari nyingine na siyo hiyo!!Niuzie
HNCP65
1490cc
Model 2005
AWD
Full tank inatembea maximum 370km to 350km
Huwa nawasha A.C sio mda wote mara moja moja na nishafanya majaribio zaidi ya maratatu swali langu linakuja ni normal ulaji huo au Kuna tatizo dashboard inajionuesha Kila kitu gari Haina tatizo lolote lingine services nafanya Kila baada ya km 5000 ilikuja na km 150000 kutoka Japan.
kama IST zenye model hizo ni kawaida ulaji huo sawa tatizo sio Hela ya mafuta imenishinda ila tatizo ulaji huo ni kawaida au Kuna tatizo?
View attachment 2165803