Africa Tanzania
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 1,504
- 2,272
Wakuu
Nimebahatika kupata gari hiyo Vitz old model miezi michache iliyopita, nimeona nije niulize maswali kuhusu hiyo gari mabosi mnaaita "babywoka"
1. Naweza kusafiri nayo from Dar - Mbeya non stop?
2. Vitu gani kiufundi niviepuke kwenye matumizi ya gari hii!?
NB: Engine CC 990, Piston 4
Karibuni!
Nimebahatika kupata gari hiyo Vitz old model miezi michache iliyopita, nimeona nije niulize maswali kuhusu hiyo gari mabosi mnaaita "babywoka"
1. Naweza kusafiri nayo from Dar - Mbeya non stop?
2. Vitu gani kiufundi niviepuke kwenye matumizi ya gari hii!?
NB: Engine CC 990, Piston 4
Karibuni!