Mzee Saliboko
JF-Expert Member
- Jan 29, 2018
- 1,311
- 1,018
Naomba ufafanuzi hukumu huwa ni kunyongwa hadi kufa au kunyongwa tu. Je, mtu akihukumiwa kunyongwa kuna uwezekano wa kupona tofauti na aliyehukumiwa kunyongwa hadi kufa?
Na huzikwaje?
Na huzikwaje?