Naomba ufafanuzi kuhusu adhabu ya kunyongwa

Naomba ufafanuzi kuhusu adhabu ya kunyongwa

Mzee Saliboko

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2018
Posts
1,311
Reaction score
1,018
Naomba ufafanuzi hukumu huwa ni kunyongwa hadi kufa au kunyongwa tu. Je, mtu akihukumiwa kunyongwa kuna uwezekano wa kupona tofauti na aliyehukumiwa kunyongwa hadi kufa?

Na huzikwaje?
 
Back
Top Bottom