Naomba ufafanuzi kuhusu eligibility

Ze Heby

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2011
Posts
5,636
Reaction score
6,178
Heshima mbele wakuu.Naomba mwenye uelewa kuhusu mtu kuwa eligible kwenye kozi fulani anisaidie na vitu ambavyo eligibility inategemea.Nina pointi 7,nipo eligible muhas lakini sipo eligible udom kwa kozi ile ile ilihali udom wanataka pointi 5.
 
du Mambo ya TCU sio
utaambiwa system erro
 
ni kweli kuna huo utata - lakini ni kozi gani hiyo. nimeshuhudia za medicine - YES MUHAS lakini St francis Ifakara NO kwa vigezo vilevile!!!
 
jamani tuambiane maana yamenikuta hayo! nibadilishe au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…