Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 9,980
- 34,404
Ile yako uliyochukua CFAO Motors umeiandika hivyo?nikiweka HM utakuwa umeelewa ni mimi [emoji4][emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile yako uliyochukua CFAO Motors umeiandika hivyo?nikiweka HM utakuwa umeelewa ni mimi [emoji4][emoji4]
Si ndio kama hii au huependi watu wakujue 😀😀Wewe!!! Wewe! Wewe!
Nimekuita mara tatu[emoji3]
Naona umeona unitukane 😀😀😀😀Ile yako uliyochukua CFAO Motors umeiandika hivyo?
Hawana safari za mara kwa mara kwa hiyo wanamudu gharama za mafutaHarrier 240G, yananunuliwa sana na wastaafu, sijajua wanatumia pension kuweka mafuta au?
Sasa tusi liko wapi hapo HM?Naona umeona unitukane [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
😀😀😀😀 just funny my dear sister in indian voiceSasa tusi liko wapi hapo HM?
I know..I know Blazaaa[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] just funny my dear sister in indian voice
Hizo brake pad za Toyota za 270,000 ni duka la Toyota au maduka ya mtaani tu?Hiyo gari ninayo hivyo naweza kuisemea kdg. Kwa upande wa spea zinapatikana ila ni kwa bei kubwa kdg kulinganosha na toyota zingine za chini kama spacio au raum. Mfano break pad za mbele original toyota ni 270k, fake yake 120k ya kawaida mpaka elfu 60 unapata. Kuhusu ulaji wa mafuta kwa uzoefu wangu ni vyema ukawa na gari nyingine ya mizunguko. Ukitaka kufanya mizunguko na harrier basi jiandae linabugia sana mafuta. Kwa safari ni mazuri na very comfortable ila kwa mizunguko sio rafiki. Ni gari nzuri ya kutokea mara moja moja na safari sio ya kupuyanga mjini.....
😀😀😀😀 2400 nayo ya kulia kama inakula wese.. hiyo umeme mwingi sana.. inanusa tu.. achukue tu.. haili kabisa