Ndo nilichozungumzia Hapo juu sema wwe umekifafanua zaidi Ndugu
Lukonge..
Kwa sababu yeye alitaja siku saba...
Binafsi nikushukuru zaidi...
Kwa kuongezea Tu ni kwamba vituo vingi tunatumia emegency case katika kupokea Mgonjwa alioKuja baada ya kutibiwa Katika vituo vingine na hakukuwa na rufaa ya matibabu (Japo ikiwa tu Dawa na Magonjwa tunayotibu hayafanani)
Nakubaliana na wewe kwamba mfumo wa NHIF kwa Tangu mwaka 2019 na kuendelea ukitibiwa hapo hapo unaonyesha kuwa umetibiwa sehemu fulani...
Hakuna maumivu yoyote kwenye malipo Yaliyowahi kutukuta Kwakuwa tunazingatia STG , No polypharmacy na Hakuna kumpa mgonjwa Dawa alizokwisha pata kituo kingine na hakuna kutibu ugonjwa uliokwisha kutibiwa unless its Complication ya ugonjwa huo...