Nyaka-One
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 4,730
- 6,736
Kwa bei hiyo kwa mtanzania mwenye kipato cha kawaida si bora kuweka tiles za kawaida ambapo kwa TZS 40,000/= atapata box zima lenye tiles za ķufunika eneo lenye ukubwa wa 1.7 m².Bei inategemea quality lakini range iko kwenye 35,000 kwa square meter