Fundi mahiri wa ujenzi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 4,159
- 2,844
habari za majukumu!
Mimi ni fundi ujenzi wa nyumba. Kwa sasa nataka niboreshe huduma yangu Kwa kufungua ofisi nzuri ambapo Itakuwa rahisi kukutana na wateja wangu.
Kwakuwa kufungua kampuni ya ujenzi inahitaji mtaji mkubwa na mm kwa sasa sina huo uwezo, nimejiwa na wazo la kusajili business name.
Je, sheria zetu zinaruhusu kufanya hilo jambo?
Naomba kujua ndugu zangu.
Mimi ni fundi ujenzi wa nyumba. Kwa sasa nataka niboreshe huduma yangu Kwa kufungua ofisi nzuri ambapo Itakuwa rahisi kukutana na wateja wangu.
Kwakuwa kufungua kampuni ya ujenzi inahitaji mtaji mkubwa na mm kwa sasa sina huo uwezo, nimejiwa na wazo la kusajili business name.
Je, sheria zetu zinaruhusu kufanya hilo jambo?
Naomba kujua ndugu zangu.