Salaam wana JF,
Kama heading inavyojieleza kuna kiasi cha pesa kinachokatwa kwenye kila gari inayoingizwa nchini kupitia bandarini, labda na kwingineko kinaitwa railway levy.
Mimi kwa uelewa wangu nadhani hii pesa ni kwa ajili ya maendeleo ya reli hasa ujenzi na ukarabati. Katika ufahamu wangu wa ujenzi wa reli ya SGR tangu kipindi cha mwendazake kuna pesa nyingi zimeshakopwa kugharimia huo mradi wa SGR ingawaje tuliambiwa kwamba zingetumika pesa za ndani.
Je, tangu pesa za railway levy zianze kukusanywa hazijatosha kugharamia mradi wa SGR angalau kwa asilimia 70 hadi tuanze kukopa? na kwa namna hali inavyoenda huo mradi unaweza kuchukua miaka mingi kukamilika kutokana na kuhitaji pesa nyingi.
Naomba wajuvi waje watiririke uelewa wao kuhusu jambo hili.
Kama heading inavyojieleza kuna kiasi cha pesa kinachokatwa kwenye kila gari inayoingizwa nchini kupitia bandarini, labda na kwingineko kinaitwa railway levy.
Mimi kwa uelewa wangu nadhani hii pesa ni kwa ajili ya maendeleo ya reli hasa ujenzi na ukarabati. Katika ufahamu wangu wa ujenzi wa reli ya SGR tangu kipindi cha mwendazake kuna pesa nyingi zimeshakopwa kugharimia huo mradi wa SGR ingawaje tuliambiwa kwamba zingetumika pesa za ndani.
Je, tangu pesa za railway levy zianze kukusanywa hazijatosha kugharamia mradi wa SGR angalau kwa asilimia 70 hadi tuanze kukopa? na kwa namna hali inavyoenda huo mradi unaweza kuchukua miaka mingi kukamilika kutokana na kuhitaji pesa nyingi.
Naomba wajuvi waje watiririke uelewa wao kuhusu jambo hili.