Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 3,329
- 2,169
Nimepata wazo la kufuga na kuexport konokono kwenda ulaya ambako nasikia wafaransa wanawapenda
Naomba mawazo na wadau tushirikiane ktk hili
Niko Lindi na wanastawi vizuri hadi wanaharibu mazao ya wakulima
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba mawazo na wadau tushirikiane ktk hili
Niko Lindi na wanastawi vizuri hadi wanaharibu mazao ya wakulima
Sent using Jamii Forums mobile app