Naomba ufafanuzi kuhusu ulazima wa mwalimu kulipia mchango wa Mwenge

Naomba ufafanuzi kuhusu ulazima wa mwalimu kulipia mchango wa Mwenge

Kumbe kuna watu wanachangia mwenge😳😳😳
Sijawahi changia huo upuuzi.
 
kule vijijini ndio wajasiriamali wanalazimishwa kindakindaki wakafanyie biashara zao uko kwenye mwenge, kuanzia mama ntilie, Bar adi pombe za kienyeji, ukikamatwa haujaenda kwenye mwenge na bidhaa zako unadakwa unalipa elfhamsini eroo
 
Ili tusikumbane na mambo kama haya vema tukubaliene na Serikali katika ubinafsishaji inawezafikia hatua wanaweza kuubinafsisha huu mwenge
 
kule vijijini ndio wajasiriamali wanalazimishwa kindakindaki wakafanyie biashara zao uko kwenye mwenge, kuanzia mama ntilie, Bar adi pombe za kienyeji, ukikamatwa haujaenda kwenye mwenge na bidhaa zako unadakwa unalipa elfhamsini eroo
Ha ha ha leo hii mshikeshike huu upo ndani ya kijiji cha ikuti wilaya ya Rungwe😂😂😂😂kumbe hii inatokea sehemu nyingi.😳😳
 
Wakuu, sina haja ya kuwasalimia kutokana na mvurugo bila kusahau matusi ya Mkuu Mpwayungu naomba kuuliza wajuvi hivi mwalimu akishindwa kuchangia mchango wa MWENGE ambao ni shilingi elfu tano katika halmashauri hii anakuwa amemkosea nani kwa sababu naona ni wazi tunatafutana lawama. Kuna wananchi wengi tu lakini hawabanwi, why Walimu?

Mikwara miiingi mara majina sijui yanatumwa kwa mkuu wa wilaya kwa wasio changia mwenge kwa Nini mnatulazimisha kama ni lazima si muwe mnakata hukohuko kabla mshahara haujatoka?

Binafsi sioni mantinki naona ni uonevu wa Hali ya juu mwalimu amekua ndio jalala la majanga huo mwenge wenyewe ukifika mwalimu hatambuliwi watu wanatafuna vyuku kwa michango ya walimu masikini Serikali tafadhali msituonee hivi kuweni na chembe ya huruma magoli mnanunua milioni20 mchango wa MWENGE unawashindaje?
Wewe ungelichanga ama kuahidi ili kuua soo.

Mimi ninavyojua wewe umebanwa na afisa elimu ambaye naye kabanwa na mkuu wa idara.

Mwenge unapokaribia Wilaya husika, basi huitishwa kikao kwa Dc akishirikiswa na Mkurugenzi na wakuu wake wa idara kujadili michango ya "mafuta" ya mwenge.

Wanakamati hao hutozana hela kubwa kubwa kwa lazima na kisha kupeana majukumu ya kuchangisha staff walio chini ya idara zao, kabla Mwenge haujafika.

Wewe kama ni mwalimu mshika chaki waweza kataa kisiasa kwa visingizio chochote na mwenge ukushapita unapita na kadhia zake.

Lakini kwa safu iliyopo Wilayani,(KUU pamoja na mkurugenzi) mchango huo huwaga ni wa lazima na wala si wa kubembelezana.
 
Wewe ungelichanga ama kuahidi ili kuua soo.

Mimi ninavyojua wewe umebanwa na afisa elimu ambaye naye kabanwa na mkuu wa idara.

Mwenge unapokaribia Wilaya husika, basi huitishwa kikao kwa Dc akishirikiswa na Mkurugenzi na wakuu wake wa idara kujadili michango ya "mafuta" ya mwenge.

Wanakamati hao hutozana hela kubwa kubwa kwa lazima na kisha kupeana majukumu ya kuchangisha staff walio chini ya idara zao, kabla Mwenge haujafika.

Wewe kama ni mwalimu mshika chaki waweza kataa kisiasa kwa visingizio chochote na mwenge ukushapita unapita na kadhia zake.

Lakini kwa safu iliyopo Wilayani,(KUU pamoja na mkurugenzi) mchango huo huwaga ni wa lazima na wala si wa kubembelezana.
Mwenge na uheshimiwe ni tunu ya Taifa
 
Wakuu, sina haja ya kuwasalimia kutokana na mvurugo bila kusahau matusi ya Mkuu Mpwayungu naomba kuuliza wajuvi hivi mwalimu akishindwa kuchangia mchango wa MWENGE ambao ni shilingi elfu tano katika halmashauri hii anakuwa amemkosea nani kwa sababu naona ni wazi tunatafutana lawama. Kuna wananchi wengi tu lakini hawabanwi, why Walimu?

Mikwara miiingi mara majina sijui yanatumwa kwa mkuu wa wilaya kwa wasio changia mwenge kwa Nini mnatulazimisha kama ni lazima si muwe mnakata hukohuko kabla mshahara haujatoka?

Binafsi sioni mantinki naona ni uonevu wa Hali ya juu mwalimu amekua ndio jalala la majanga huo mwenge wenyewe ukifika mwalimu hatambuliwi watu wanatafuna vyuku kwa michango ya walimu masikini Serikali tafadhali msituonee hivi kuweni na chembe ya huruma magoli mnanunua milioni20 mchango wa MWENGE unawashindaje?
Aliyekutuma uwe mwalimu ni Nani!?

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Poleni sana, mambo ya serikali ndivyo yalivyo...
 
Back
Top Bottom