Naomba ufafanuzi kuhusu usafiri Wa Meli/Boat: Unguja-Pemba-Unguja (28 & 29/12/2020)

Naomba ufafanuzi kuhusu usafiri Wa Meli/Boat: Unguja-Pemba-Unguja (28 & 29/12/2020)

Ntu

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
1,001
Reaction score
650
Heshima Kwenu Nyote Wakuu,

Nilikuwa nataka namimi niende nikapaone Pemba tarehe tajwa hapo juu. Sasa naombeni muongozo kwenye mambo yafuatayo;

1. Je, naweza kutoka Unguja siku ya J3 tarehe 28/12/2020 (Jioni) na Kurudi (from Pemba to Unguja) siku ya J4 tarehe 29/12/2020 (Jioni)?

2. Je ,Meli/Boat zipi ambazo zitaweza kuondoka Unguja/Pemba katika mida hiyo ya jioni?

3. Vipi swala la bei kwa first Class (meli/boat)?

4. Kwa ndege; ndege zipi ninaweza kuzi-consult (cheaper once).

Shukran sana Wakuu

CC Philipo D. Ruzige MKEHA ibanezafrica TODAYS safuher Madame S Super H @DonVito
 
Heshima Kwenu Nyote Wakuu,

Nilikuwa nataka namimi niende nikapaone Pemba tarehe tajwa hapo juu. Sasa naombeni muongozo kwenye mambo yafuatayo;

1. Je naweza kutoka Unguja siku ya J3 tarehe 28/12/2020 (Jioni) na Kurudi (from Pemba to Unguja) siku ya J4 tarehe 29/12/2020 (Jioni)?

2.Je Meli/Boat zipi ambazo zitaweza kuondoka Unguja/Pemba katika mida hiyo ya jioni?

3.Vipi swala la bei kwa first Class (meli/boat)?

4.Kwa ndege; ndege zipi ninaweza kuzi-consult (cheaper once).

Shukran Sana Wakuu

CC Philipo D. Ruzige MKEHA ibanezafrica TODAYS safuher Madame S Super H @DonVito
@DonVito
 
Heshima Kwenu Nyote Wakuu,

Nilikuwa nataka namimi niende nikapaone Pemba tarehe tajwa hapo juu. Sasa naombeni muongozo kwenye mambo yafuatayo;

1. Je naweza kutoka Unguja siku ya J3 tarehe 28/12/2020 (Jioni) na Kurudi (from Pemba to Unguja) siku ya J4 tarehe 29/12/2020 (Jioni)?

2.Je Meli/Boat zipi ambazo zitaweza kuondoka Unguja/Pemba katika mida hiyo ya jioni?

3.Vipi swala la bei kwa first Class (meli/boat)?

4.Kwa ndege; ndege zipi ninaweza kuzi-consult (cheaper once).

Shukran Sana Wakuu

CC Philipo D. Ruzige MKEHA ibanezafrica TODAYS safuher Madame S Super H @DonVito
1 unaweza kwa ndege coz meli zinaondoka asubuh saa moja

2 hakuna meli inayoondoka jion maybe jpil saa kumi inatoka pemba to tanga

3.first class 25000

4 ndege zote bei sawa
 
1 unaweza kwa ndege coz meli zinaondoka asubuh saa moja

2 hakuna meli inayoondoka jion maybe jpil saa kumi inatoka pemba to tanga

3.first class 25000

4 ndege zote bei sawa
Shukran Sana Mkuu🙏
 
Mkuu kwa msaada juu ya muda, nauli nk bofya hapo 👇 utapata data zote.

Karibu Pemba.
 
Back
Top Bottom